Mi niliweka uzi wangu kuhusu ukweli wa mgao Mods wakauchinjia mbali,kiukweli mgao umebadirishwa jina na kuitwa hitilafu. Jana saa moja jioni,km kawaida Nyegezi kuanzia jeshini kuelekea Buhongwa walikata,njapiga +255 282500090 TANESCO HUDUMA KWA WATEJA nikapewa jibu kuwa Load ni kidogo ndo maana wamekata. Nijauliza kuwa hiyo load inakuwaga ndogo eneo letu tu kila ifikapo saa moja? Nikajibiwa hata maeneo ya Sabasaba umeme umekatwa kwa hiyo vumilieni tu umeme utarudi. Nikatamani nimpigie waziri mwenyewe bahati mcya namba yake sikuipata! Hapa Muhongo aache uongo,mgao upo hata kama kwa jina la hitilafu au Load ndogo. Mbwembwe za kuzalisha Megawati 1400 na matumizi yetu 831 yako kwenye takwimu anazowekewa mezani kwenye daily reports zake bt practicaly tunazalisha less!