Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,648
Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Mhongo amesema kamwe hatafuata ushauri unaohusu gas kwa watu ambao wamehudhuria mafunzo ya wiki moja ya gas na kupata cheti cha mahudhurio 'certificate of attendance' na amekemea tabia ya watu hao kujifanya wanajua sana masuala ya gas kuliko wataalam wenyewe.
This guy is exremely naïve and paranoid! Si kweli kwama ushauri mzuri unapatikana kwa wataalamu tu.