Kibunago
JF-Expert Member
- Jan 11, 2008
- 300
- 122
Muhongo 2015!
HAKUNA KITU HUYU NI MSOMI MTENDAJI ANAYEPENDA KUONA RESULTS. YEYE MWENYEWE NINA HAKIKA HATAKI KABISA HAYA MAMBO YA SIASA. Ningetamani Semunyu amuulize hilo swali kipindi kijacho tusikie. Sitashangaa akisema kuwa yeye si mwanasiasa. Kweli sasa tunaona umuhimu zaidi wa kutenganisha ubunge na uwaziri kwenye katiba tunayoitengeneza!!!