Anasema hakuna haja ya kuwa na mambo ya umeme wa dharura kwani ndio chanzo cha ufisadi. Asisitiza hakuna na hakutokuwa na mgao wa umeme. Asema kila mtu anaongelea mambo ya gesi,hata wasiokuwa na utaalamu wanaongelea kama wataalamu na hivyo wanapotosha umma. Kwa hayo na mengine mengi angalia ITV saa 3 usiku leo,kipindi cha dakika 45.