Prof. Mkumbo: We should not compare Magufuli with Mwl. Nyerere

Prof. Mkumbo: We should not compare Magufuli with Mwl. Nyerere

Ni kweli huwezi kumlinganisha Rais Magufuli na Mwl. Nyerere kwa sababu hawa ni binadamu wawili tofauti lakini pia tuache kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa!

Hiyo demokrasia ya Mwl. Nyerere inatoka wapi wakati aliongoza taifa kwa kutumia kauli mbiu ya ''Zidumu Fikra za Mwenyekiti wa chama Taifa''.

Mwl. Nyerere alituambia katiba ya Tanzania inampa madaraka makubwa lakini kwa vile alipenda madaraka makubwa ndiyo maana hakuibadilisha ili kupunguza hayo madaraka.

Mwl. Nyerere aliwafanya baadhi ya Watanzania kukimbia uhamishoni wengine kupewa house arrest.

Inawezekana neno demokrasia lina maana nyingine zaidi ya alichokuwa anakifanya Mwl. Nyerere kwa sababu alishawahi kunukuliwa akisema, “Developing nations need democracy, but the need and necessity of democracy should come from within according to geographical necessity, maturity etc …’’

Kama hoja ni masuala ya kifalsafa, hata Adolf Hitler alikuwa mwanafalsafa mzuri sana.
Falsafa ya Hitler ilikuwa ni nini? Mwalimu's philosophy was Socialism and self reliance. In that philosophy, democracy had its own definition completely different from today's.
 
Pamoja na mapungufu yake, Nyerere alikuwa ni zawadi ya Watanzania kutoka kwa Mungu. Nikikutana na watu wa nchi nyingine sehemu mbali mbali duniani wakijua mimi ni mbongo basi wataulizia kuhusu Nyerere wengine wanajua kama alishafariki na wengine hawajui. Basi wataanza kumwaga sifa kem kem kuhusu Nyerere mpaka unajisikia raha. Wawe ni wa kutoka Afrika, Ulaya, Uarabuni na kwingineko sijawahi kukutana na mtu ambaye alimuongelea vibaya Baba wa Taifa.
Katika Afrika hii viongozi wanaoweza kulinganishwa na Mwalimu ni Kwame Nkrumah na Nelson Mandela. Kumlinganisha Mwalimu na Magufuli, Kikwete, Mwinyi au Mkapa, ni kumdhalilisha Mwalimu.

Mwalimu was a leader not a ruler. He was a great philosopher and intellectual. Vitabu vya Mwalimu na Kwame Nkrumah vinatengeneza Maktaba. Hawa mnaowataja, niambieni wana vitabu na majalida mangapi?
 
Ni kipi kinachomfanya Mkumbo aseme Magufuli hana falsafa?...

Falsfa ni nini?

Ni utaratibu upi aliokiuka Magufuli hadi sasa?

Kungekuwa hakuna demokrasia nchini Mkumbo angepewa nafasi kwenye TBC kubwabwaja?
Sipendagi ujinga mimi!!
 
Una taarifa za michango?tushushie mchanganuo....
1479068491756.jpg
 
Nyerere alifisadi mindset za watu , yaani miaka 23 ikulu ndo demokrasia hiyo ? Na ninahisi aliachia ngazi baada ya afya yake kuleta mshike mshike .
 
Nyerere aliichukia rushwa kwa thabiti hakuwahi kuwahonga wabunge ili kupitisha mswada wowote

Nyerere aliwalea waliokuwa wanavuruga mashirika ya umma. Ukivuruga mutex una hamishiwa mwatex ili nako ukavuruge, kwa mfano. Magufuli anawatumbua papo kwa papo.

Na washawasha!
 
Ni kipi kinachomfanya Mkumbo aseme Magufuli hana falsafa?...

Falsfa ni nini?

Ni utaratibu upi aliokiuka Magufuli hadi sasa?

Kungekuwa hakuna demokrasia nchini Mkumbo angepewa nafasi kwenye TBC kubwabwaja?

Kumkaribisha kiongozi anaekalia nchi nyingine kimabavu. Falsafa za Nyerere ni ukombozi ndio maana alisaidia nchi nyingi za Africa kupata uhuru.
JPM yeye anakumbatia madikteta na wakolon.
 
Kwa kuwa umeolewa na mafisadi wa hapo Ufipa unafikili kila mtu ni fisadi.
Badala ya kuulizia ruzuku ya chadema inavyotumika we umekadhania upuuzi tu
Katika watu waliochanganyikiwa baada ya Lowasa kubwagwa chini huyo jamaa ni mmojawapo. Akili zimemruka kabisaa.
 
Chukua mawazo ya kitila mkumbo ila usifuate kitila mkumbo haaminiki hana msimamo Mimi nimekuwa nikifuatilia sana no MTU wa kukubali Bali tuu
 
Sasa members wanajadili alichosema Mwanasiasa ooops Kitila Mkumbo. JF katika ubora wake, mwanasiasa ni nani hasa, ndiye huyu huyu ambaye alikua anaganga njaa na Mbowe et al ..... ...... what a topic.
 
Ni kipi kinachomfanya Mkumbo aseme Magufuli hana falsafa?...

Falsfa ni nini?

Ni utaratibu upi aliokiuka Magufuli hadi sasa?

Kungekuwa hakuna demokrasia nchini Mkumbo angepewa nafasi kwenye TBC kubwabwaja?
Kwa hiyo kuongea tbc ndo democracy imeishia hapo?????
 
~~~~~~~RambiRambi Za Kagera~~~~~~~~~
Uingereza Bil.6 [emoji777]
Marekani Bil.5[emoji818]
Kenya Mil.200[emoji777]
Korea 1.5Bil[emoji777]
Wadau mbalimbali 5.4Bil[emoji777]
Sirikali.
TOTAL 5.4 Bil
Sijui Umenielewa Apo?
Bado za kagame
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Falsafa ya Hitler ilikuwa ni nini? Mwalimu's philosophy was Socialism and self reliance. In that philosophy, democracy had its own definition completely different from today's.
Falsafa ya Adolf Hitler ilikuwa nazism.

Hitler once said, "Democracy in our eyes is a regime that is supported by the will of the people."
 
Ni kipi kinachomfanya Mkumbo aseme Magufuli hana falsafa?...

Falsfa ni nini?

Ni utaratibu upi aliokiuka Magufuli hadi sasa?

Kungekuwa hakuna demokrasia nchini Mkumbo angepewa nafasi kwenye TBC kubwabwaja?
Hiloooo! Oooooh!
 
Back
Top Bottom