warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,383
Watamroga bure hawa majirani. Cha ajabu ni kwamba hakuna mmoja wao anajaribu kukana kwamba viongozi wao wanafikishwa Nairobi kila uchao kisa makali ya COVID-19. Wote wamekolia tu kwenye chorus kwamba Corona haina tiba.
Sasa nashangaa kwanini hawajiulizi watu wakiugua huwa wanafikishwa hospitalini kufanya nini. Kumbuka wanayo hospitali yao ambayo imefungwa nyungu ya kutoa chanjo na tiba za Corona, zote kwa mpigo.
Sasa kama mko na kinga ya corona nini mbaya mmewekewa curfew ?? Na hizo vaccines mlipewa ndo muongeze makalio au? Mbona mnajibeba ujinga, kama Nairobi hospital inatibu corona why curfew then ? Mlichukua kinga za wenyewe ndo muongeze nguvu za kiume au ? Non sense
Semen tu mnatuonea wivu juu huku life goes on as usual and we don’t care , nyie Easter mmelia ndan kama umbwa mijinga hii uhuru anawabeba ujinga mxieew