Mimi nipo Wilaya ya Mwanga kwasasa... Niko hapa Usangi. Chadema hakuna anayekijua
Kwanza wanawaona wahuni toka kijana wenu Adieli akimbie kwa wizi wa Laptop za shule ya Usangi day.
Kighare toka ashinde Rays ni vurugu tupu, miradi ya kijiji imekwama.
Kwasasa tunamalizia Ujenzi wa chanzo kipya cha maji hapa ndanda, Mchali tumeshafungua visima viwili.. Mwanga mjini kuna mradi mkubwa wa maji wa maji unamaliziwa.
Kuhusu ujenzi wa Maabara karibu shule zote zina maabara za kisasa.
Jitambue ww baba yako ni haki yako kukupeleka shule na kukulea na ndio kama serikali ni jukumu lake popote pale dunian kuwanya hivyo usione barabara unasema eti ccm kajenga ni lazima ajenge na ukija uongozi mwingine hivyohivyo lqzima wafanye sio ww hela ipo ila inaliwa na wachache