Prof. Maghembe Yuko Taabani Mwanga Kumekucha Sasa

Prof. Maghembe Yuko Taabani Mwanga Kumekucha Sasa

Acha uongo wew? Mwanga kuna mrad gan wa maji? Huu wa kuchimba mavisima ya kitapeli.? Tuna wiki ya tatu sasa mabomba yanatoa hewa kuhusu mchali/hapajawahi kuwa na shida ya maji tangu uhuru! Mshewa na chomvu kuna intake zaid ya tano zipo! Kuanzia ipombe le nuka inayopeleka maji mpka hospital ya wilaya, kuna intake kama nne zilizopo mto ndurumo ikiwemo ya lomwe sekondari, tatu za jumuiya za watumia maji za mshewa,ngeja kati na mchali! Hiyo mpya ya mchali ni ipi?

Mkuu Mtengeti Mwache Huyu Mfu Azike Wafu Wenziwe Sisi Tusonge Mbele Hoptali Ya Usang Ambayo Ni Ya Wilaya Haina Hata Aspirini Nakumbuka Siku Nilipompeleka Bi Mkubwa Wangu Akapimwa Malaria Akakutwa Nayo Tatu Nikaagizwa Nikanunue Dawa Mseto Sikumbuk Walinitajia Duka Gani Sikuwaamini Ikanibidi Kwenda Shighatini Mision Ndipo Mama Alikotibiwa Why Maghembe Why Ccm Mwanga
 
Acha uongo wew? Mwanga kuna mrad gan wa maji? Huu wa kuchimba mavisima ya kitapeli.? Tuna wiki ya tatu sasa mabomba yanatoa hewa kuhusu mchali/hapajawahi kuwa na shida ya maji tangu uhuru! Mshewa na chomvu kuna intake zaid ya tano zipo! Kuanzia ipombe le nuka inayopeleka maji mpka hospital ya wilaya, kuna intake kama nne zilizopo mto ndurumo ikiwemo ya lomwe sekondari, tatu za jumuiya za watumia maji za mshewa,ngeja kati na mchali! Hiyo mpya ya mchali ni ipi?

NA habari nilizozipata toka chini ya kapeti, ni kuwa haya magamba yana mpango katika maeneo ya hapa Mwanga ambayo kuna wajumbe wa Chadema wamechaguliwa, watakuwa wanaitisha vikao vya kijiji bila ya kuwapa taarifa, lengo ni kuwa vitimie vikao vitatu mfululizo bila mjumbe wa Chadema kushiriki, then mjumbe huyo anakuwa automatically kapigwa chini. Hivyo makamanda pambaneni katika hilo. Vita ni ngumu, hakika tutafika. TULIANZA NA MUNGU, TUTAMALIZA NA MUNGU
 
Narudia kusema kuwa jimbo la Mwanga ili CCM ing'oke vijana wanatakiwa kuhamasishwa na kushirikishwa kikamilifu,Hawa ndio wenye nguvu ya kuing'oa CCM ktk jimbo la Mwanga lakini kinyume na hapo itakuwa ndoto kwa Chadema kuchukua hili jimbo.Huo ndio ukweli.
 
Hicho kitu hakiwezekani kabisa! Waulize waliogoma kuapishwa wakijua wanawakomoa wale wa cdm walioapa, bahat nzur hapa mwanga cdm ni kama kunguru ! Cccm ni panz wanaogombana yapo makundi makubwa mawil na yanakamiana kwel na kuumizana, wale wanaomizwa ndio hao wanaisaidia CHADEMA
NA habari nilizozipata toka chini ya kapeti, ni kuwa haya magamba yana mpango katika maeneo ya hapa Mwanga ambayo kuna wajumbe wa Chadema wamechaguliwa, watakuwa wanaitisha vikao vya kijiji bila ya kuwapa taarifa, lengo ni kuwa vitimie vikao vitatu mfululizo bila mjumbe wa Chadema kushiriki, then mjumbe huyo anakuwa automatically kapigwa chini. Hivyo makamanda pambaneni katika hilo. Vita ni ngumu, hakika tutafika. TULIANZA NA MUNGU, TUTAMALIZA NA MUNGU
 
Mkuu Mtengeti Mwache Huyu Mfu Azike Wafu Wenziwe Sisi Tusonge Mbele Hoptali Ya Usang Ambayo Ni Ya Wilaya Haina Hata Aspirini Nakumbuka Siku Nilipompeleka Bi Mkubwa Wangu Akapimwa Malaria Akakutwa Nayo Tatu Nikaagizwa Nikanunue Dawa Mseto Sikumbuk Walinitajia Duka Gani Sikuwaamini Ikanibidi Kwenda Shighatini Mision Ndipo Mama Alikotibiwa Why Maghembe Why Ccm Mwanga
si afadhali wewe ulipata huduma ya kupimwa. Mimi nilipeleka mtoto hata ile pin ya kutobolea kidole ili damu itoke hakuna! NKAWAAMBIA sasa si mchukue hata Office pin tu! wakaniambia na vitendanishi pia hakuna nlichoka mbaya
 
Acha Woga Mbona Unakimbia Kivuli Chako Subili Tar.1 Mwez Wa Pili Tunatua Hapo Usangi Na Tutakuwa Na Makamanda Kibao Taifa Tunajaribu Kumpata Hata Mwenyekiti Taifa Tutafanya Mkutano Wanja Wa V.T.C, Chuo Cha Uma Kilichogawanwa Na Mafisadi.Kuhusu Ray's Mi Najua Ni Mwenyekiti Wa Mbunge Wako Maghembe Hivyo Muulize Maghembe Kua Ccm Mnafanya Fujo Za Nini Wakati Wananchi Washaamua? Ovaa


Hijja Madava.
Rays ni Mwenyekiti wa kijiji cha Kighare na Maghembe anatoka Kirongaya.

Kuhusu mkutano wa tar. 01. Labda mje muhutubie migomba.
 
Last edited by a moderator:
Acha uongo wew? Mwanga kuna mrad gan wa maji? Huu wa kuchimba mavisima ya kitapeli.? Tuna wiki ya tatu sasa mabomba yanatoa hewa kuhusu mchali/hapajawahi kuwa na shida ya maji tangu uhuru! Mshewa na chomvu kuna intake zaid ya tano zipo! Kuanzia ipombe le nuka inayopeleka maji mpka hospital ya wilaya, kuna intake kama nne zilizopo mto ndurumo ikiwemo ya lomwe sekondari, tatu za jumuiya za watumia maji za mshewa,ngeja kati na mchali! Hiyo mpya ya mchali ni ipi?


MTENGETI
Kuna kisima kipya kimejengwa kati ya Msikiti wa Kirongwe na Lomwe.

Kisima hiki kinalisha Lomwe, Mchali na Ngeja.

Shighatini kuelekea Ibaya kuna kisima kipya.

Ndanda kuna chanzo kipya Mashadeni .. Kitalisha Ndanda hadi Mbughwini.
 
Last edited by a moderator:
Hapa unathihirisha uongo wako mtakatifu. Kisima unachokitaja kiko kati ya Lomwe na msikiti wa kirongwe. ni kisima kirefu borehole. ngeja ni juu sana na wala na haiwezekani mabomba kwenda mchali kwa sababu Already kuna maji ya kutosha kutoka vyanzo vya kata ya Chomvu na vya vyanzo binafsi. KWA TAARIFA YAKO TU Maji kutoka intake ya ipombe lenuka kindoroko yanafika mchali na maeneo ya lomwe mengine yana uwezo wa kufika mpaka toloha ambapo Toloha na Kigonigoni wanatumia maji ya mto ndurumo amabyo kimsingi ndio yanapita Mchali yakitokea chomvu na Ngeja (Ndurumo) kuvuka tena mto kurudi mlimani maji ya mto ndurumo yalipoanzia. kumbuka katika sehemu za juu za tarafa ya usangi ni pamoja na chomvu,ngeja kimbale, ngujini ya kighare nk. Kile kisima ni cha mradi wa jumuiya ya watumiaji wa Vuagha. so kinasukuma maji kwa ajili ya vijiji vya kirongwe, lomwe na kule chini murumi. Na kwa bahati mbaya kimeshaanza kuwashinda wanajumuiya sababu ya mita ya Luku ya three fase. kwa kifupi ni salamu nyingine za kumtakia maghembe farewell ndugu Mzee. Asee Mkuu Mzee usije ukajaribu tena kuwadanganya watu humu jukwaani tena. Sisi ndio tunaishi Usangi kila siku nyie mnaonekana mara moja moja tena pengine mmekuja kuzika au kuzikwa.
MTENGETI
Kuna kisima kipya kimejengwa kati ya Msikiti wa Kirongwe na Lomwe.

Kisima hiki kinalisha Lomwe, Mchali na Ngeja.

Shighatini kuelekea Ibaya kuna kisima kipya.

Ndanda kuna chanzo kipya Mashadeni .. Kitalisha Ndanda hadi Mbughwini.
 
Hapa unathihirisha uongo wako mtakatifu. Kisima unachokitaja kiko kati ya Lomwe na msikiti wa kirongwe. ni kisima kirefu borehole. ngeja ni juu sana na wala na haiwezekani mambomba kwenda mchali kwa sababu hapakuwa na kuvuka tena mto kurudi mlimani maji ya mto ndurumo yalipoanzia. kumbuka katika sehemu za juu za tarafa ya usangi ni pamoja na chomvu,ngeja kimbale, ngujini ya kighare nk. Kile kisima ni cha mradi wa jumiya ya watumiaji wa Vuagha. so kinasukuma maji kwa ajili ya vijiji vya kirongwe, lomwe na kule chini murumi. Na kwa bahati mbaya kimeshaanza kuwashinda wanajumuiya sababu ya mita ya Luku ya three fase. kwa kifupi ni salamu nyingine za kumtakia maghembe farewell ndugu Mzee.
MTENGETI
Kuna kisima kipya kimejengwa kati ya Msikiti wa Kirongwe na Lomwe.

Kisima hiki kinalisha Lomwe, Mchali na Ngeja.

Shighatini kuelekea Ibaya kuna kisima kipya.

Ndanda kuna chanzo kipya Mashadeni .. Kitalisha Ndanda hadi Mbughwini.
 
Wakuu Wasalam Wote Kwanza Kabisa Nalaani Kwa Nguvu Zangu Zote Na Kwaniaba Ya Chama Chadema Mkoa Wa Kilimanjaro Kitendo Cha Polisi Kumpiga Na Kumjeruh Mmoja Wa Watu Muhim Sana Katika Harakati Za Ukombozi Wa Taifa Mwenyekiti Wa Cuf Prof.Lipumba Haya Ni Matokeo Ya Kukaribia Kwa Ushindi Dhidi Ya Udhalimu

Wakuu Nikujulisheni Kazi Tuloifanya Leo Katika Wilaya Yetu Ya Mwanga Katika Opresheni Tuloipa Jina La 'Mwanga Wa Matumaini' Tukiungwa Mkono Na Wakuu Wetu Wa Cdm Wa Mkoa Wa Kill Na Arusha Katika Ziara Tulofanya Leo Kama Kawaida Kikosi Kazi Kimeendelea Kusambaza Kadi Za Cdm Kama Njugu Huku Tukiwazoa Wanachama 97 Baadhi Yao Wakiwa Viongozi Waandamizi Wa Ccm Wilaya Na Kata Picha Zipo Kesho Ntawatumia Muone. Hii Inaonyesha Kwamba Mda Wa Kung'oka Kwa Ccm Jimbo Hili Umekaribia Maana Wako Taaban Vya Kutosha Na Maghembe Analijua Hilo

Mnatakiwa kujipanga, maana hao jamaa wameanzisha mtindo ambapo katika uchaguzi mgombea wa CCM hata kama kura hazikutosha wanamuapisha hivyo hivyo kwa sababu wao ndiyo walioshika dora, lazima muwe kama jamaa wa Migombani kule Segerea ambapo waliamua kumwapisha mwenyekiti wao aliyeshinda uchaguzi kwa kumtafuta wakili wa kujitegemea, habari ndiyo hiyo.
 
MWANGA bila CCM inawezekanaaaaa!!!!!!
Vijana songeni mbele tuko pamoja.
 
Daah sikuwepo leo nlikiwa napambana na diwani wetu wa kata ya mwanga na mwenyekiti wa kitongoji . Walikamata kuku wangu eti kwanin nimegoma kuchangua ujenz wa maabara wakat wameficha bulk ya escrow

Hawajakutendea haki. Kwani fedha ya jimbo iko wapi?
 
Back
Top Bottom