WASOMI HUWA HAWAHITAJI KUIMBA WIMBO WA AINA MOJA SIKU ZOTE... PROFESA ALIPOSEMA AMEIBIWA MBOWE AKAGOMA KWENDA KWENYE KUAPISHWA KWA RAIS MH. MBOWE ALIBEZA. SIASA ZA TANZANIA NI NGUMU SANA, WACHENI KUDANDIA MAGARI YENYE KWENDA KASI.... NITAWAKUMBUSHA:
12/25/2005
Na Mwandishi Wetu
ALIYEKUWA mgombea urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema hajashindwa uchaguzi, bali huu ni mwanzo wa harakati mpya za kuwakomboa watanzania.
Badala yake, amesema wanaostahili kupewa pole ni Watanzania kwa kutumiwa, kutishwa na kurubuniwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) hadi wakakirejesha madarakani.
Akizungumza na gazeti hili wiki hii jijini Dar es Salaam, Mbowe, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, alisema kwamba badala ya wananchi kumsikitikia kwa kushindwa kuwa rais, wanapaswa kulisikitikia taifa, ambalo limepoteza fursa ya kufanya mabadiliko ya kweli ya
Akizungumzia hatua yake ya kukubali matokeo ya uchaguzi, na hata kushiriki sherehe za kuapishwa kwa Rais Kikwete wakati wapinzani wengine wamesusa, Mbowe alisema kususa si mbinu yake ya kisiasa.
Alitoa mfano wa baadhi ya wanasiasa wa upinzani ambao wamekuwa wakisusia na kukataa matokeo ya uchaguzi tangu mwaka 1995, akasema mbinu hiyo haikuwawezesha kuidhoofisha CCM....
Kwa sababu hiyo, alisema yeye na chama chake wameona ni vema kufanya siasa za kisasa, za kistaarabu na kiungwana kwa kuwa hata walipokuwa wanaingia kwenye ushindani, walijua kuwa kuna kushinda na kushindwa.
Hata hivyo, kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sheria za nchi, hata kama mshindi kapatikana kwa njia zisizo sahihi, akishatangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) hakuna anayeweza kuhoji mahali popote.
ati wapinzani wameendelea kusema hawamtambui Rais Benjamin Mkapa (aliyestaafu wiki hii) hawakuweza kumzuia kuwaongoza kwa miaka 10.
Kwa sababu hiyo, alisema yeye na chama chake wameona ni vema kufanya siasa za kisasa, za kistaarabu na kiungwana kwa kuwa hata walipokuwa wanaingia kwenye ushindani, walijua kuwa kuna kushinda na kushindwa.
Hata hivyo, kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sheria za nchi, hata kama mshindi kapatikana kwa njia zisizo sahihi, akishatangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) hakuna anayeweza kuhoji mahali popote.
JE HADI HAPA TUTASEMA BADO TUNA WANAMAPINDUZI WA UKWELI???
NIMESOMEKA HAPO:smile-big: HUYO HUYO ANATUAMBIA TUSIKUBALI MPAKA KIELEWEKE