beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba amesema Baraza Kuu la Chama hicho limetoa wito kwa Rais Samia Suluhu Hassan na Uongozi wake kuheshimu Sheria zinazoruhusu kufanyika mikutano ya hadhara na maandamano halali
Chama hicho kimeutaka Uongozi huo kuheshimu Sheria za Nchi ikiwa ni pamoja na kutoa usawa kwa Vyama vyote bila upendeleo wala uonevu katika uwanja wa kisiasa
Prof. Lipumba amesema, "CUF inaahidi kutoa ushirikiano muda wowote ambapo Nchi inaongozwa kikatiba na kisheria"
Chama hicho kimeutaka Uongozi huo kuheshimu Sheria za Nchi ikiwa ni pamoja na kutoa usawa kwa Vyama vyote bila upendeleo wala uonevu katika uwanja wa kisiasa
Prof. Lipumba amesema, "CUF inaahidi kutoa ushirikiano muda wowote ambapo Nchi inaongozwa kikatiba na kisheria"