wakazi wa mji wa Arusha wanatarajia kujitokeza kwa wingi kumpokea Prof Lipumba tarehe 30/09/2012 akitokea brussels- ubelgiji. ambako anatarajiwa kuondoka tarehe 22/09/2012, ambako anakwenda kushughulikia kuanguka kwa sarafu ya EURO barani ulaya. Chanzo. Prof lipumba jangwani.