DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
tatizo unamlinganisha Dr slaa mtaalamu wa biblia na Prof nguli wa uchumi Duniani hilo ni kosa la jinai mkuu.
kati ya bible na uchumi wa dunia ipi bora na muhimu...UTAPIGA CHINI USINGIZINI Chezea mungu wewe.