Huyo Prof wa kweli maana ameweza on hatari iliyopo mbele ya Ukawa, kaona bora ajiweke kando kuliko kuidhalilisha taaluma yake kwa tamaa ya wachache, hivyo bado naona kabisa bado vyama vya upinzani hawajawa tayari kushika dola, na watazidi kuishika kwa hisia tu mpaka atapo kuwa tayari kwa kuweka wazalendo wenye nia na dhamila ya kweli na si dhamila iliyobebwa na mengine nyuma ya pazia, hongera prof. I.Lipumba na wengine wote waliona hatari kabla ya hatari