Bepari
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 904
- 329
anaitetea CCM na mwafaka ndio maana huwa tunasema CUF ni CCM B mnabisha sasa jioneeni wenyewe
Kuna hoja yoyote kaka? Au hivyo hivyo inatosha...
anaitetea CCM na mwafaka ndio maana huwa tunasema CUF ni CCM B mnabisha sasa jioneeni wenyewe
<br />Tusijidanganye wala kudanganyana!<br />
<br />
....HAKUNA CHAMA HATA KIMOJA CHA UPINZANI TANZANIA!
kweli kabisa mkuu!Vyama vilivyokuwa vinapinga bila kushindana vyote vimekufa km,Tlp,Nccr,Udp,Tadea,Cuf nk.Tusijidanganye wala kudanganyana!
....HAKUNA CHAMA HATA KIMOJA CHA UPINZANI TANZANIA!
SLAA-CUF inafadhiliwa na ccm kufanya mikutano ya kuishutumu cdm,cuf haiwezi kuwa chama cha upinzani,cuf ni chama popo,cuf haina uwezo wa kuongoza dola,
MBOWE- CUF ni mke wa ccm,cuf siyo chama cha upinzani,cuf ni ccm b, cuf ni wanafiki, cuf hawana mwelekeo,
LIPUMBA-Chadema ni chama cha wafanyabiashara na mafisadi nyangumi,chama cha wapiga disco,chama kisicho na uwezo wa kuwatoa watz kwenye umasikini,anayedhani cdm inaweza kuongoza nchi akanywe dawa ya babu loliondo,anaumwa.
Mtatiro- Tutajibu kila propaganda wanayosema cdm dhidi yetu, chama kinachotafuta dola hakiwezi kudhaminiwa na mafisadi(nyangumi) -sabodo,mengi na wenzie- siku kikipata dola kitawatumikia waliokifadhili,tutajibu hoja kwa kielelezo,propaganda kwa ukweli , mwisho wa siku ukweli utasimama,
MANENO YA VIONGOZI WENU HAYO,KATI YA HAO WOTE NANI MJINGA NO 1,2,3,4,
NANI MJINGA KULIKO WOTE,NANI TAAHIRA, NANI MJANJA?
kweli kabisa mkuu!Vyama vilivyokuwa vinapinga bila kushindana vyote vimekufa km,Tlp,Nccr,Udp,Tadea,Cuf nk.Tusijidanganye wala kudanganyana!
....HAKUNA CHAMA HATA KIMOJA CHA UPINZANI TANZANIA!
Mwaka huu tutajionea mengi mno, hivi kumbe mkuki kwa nguruwe......... Majuzi mwanza,geita na bukoba mbowe na slaa walikuwa wakiisema waziwazi cuf majukwaani? Cuf ni ccm b, cuf siyo chama cha upinzani, cuf wanaibeba ccm, cuf wanadhoofisha upinzani n.k. Hatu juzi wakati dr(phd) slaa yuko kigoma amesema bila kubwabwaja kuwa cuf ni wakala wa ccm na kamwe hakiwezi kuwa chama cha upinzani,nadhani hayo ni matusi na kejeli na dharau za kutosha dhidi ya cuf kwa mtizamo huo ni muhimu cuf waseme wanayoyajua kuhusu cdm, kama ni muda wa kuumbuana ndio huu,waumbuane weeeeee, sie yetu macho na masikio and i strongly recommend to cuf to move on shouting about chadema as long as cdm started it and is moving on with it.
Namaanisha bse katika majukwaa ya cdm ajenda yao na adui yao mkubwa hivi sasa ni cuf na ccm then ni lazima ktk majukwaa ya cuf pia ajenda yao na adui yao mkubwa awe ccm na cdm and that is how politics is.
Vijana wa uvccm walivyomshambulia sumaye kisiasa lazima awajibu,kama walimponda naye awaponde na kama walimtukana naye amtukane,ndivyo siasa ilivyo the game of tit for tat, ktk mazingira hayo mashabiki wa cdm mliojazana humu lazima muwe wavumilivu mno
Tusijidanganye wala kudanganyana!
....HAKUNA CHAMA HATA KIMOJA CHA UPINZANI TANZANIA!
Ndugu, sijui na hakijulikani ni kitu gani kimeishusha sana busara ya CDM ya kuingia kwenye majibizano na kurusha maneno haya kwa CUF! they have exploded!!!! wamekanyaga kinyesi na sasa CUF ndio hao kila kukicha wanatoa makombora. hizi siasa au uadui na CUF unatokea wapi?? CDM wangekuwa na busara sana kama wangekaa kimya na mwisho wa siku tungeona nani mchokozi
kiwewe cha ushindi cha wabunge 40 kimeondoka na chama, cdm is declared the dead party kama ilivyo cuf yenyewe!
CUF sasa wanasema waziwazi na bado hawajaingia kwenye siasa za maji taka,
Ndugu yangu, mimi naweza kukuunga mkono kwa namna CDM inavyokwenda. Ni chama ambacho kinge maintain values zake ingekuwa safi sana. Lakini sasa wamejiingiza katika vita vya maneno maneno, na hii nasema ifikapo 2015 wanaweza kuwa wamepoteza mvuto waliokuwanao kuingia 2011. Miaka 4 ya siasa za maji taka zinaashiriwa poromoko la CDM maana watu watawaona ni wenye chuki na matusi kama ilivyo kwa baadhi wafuasi wao wengi humu ndani wasiojua staha ni nini.Ndugu, sijui na hakijulikani ni kitu gani kimeishusha sana busara ya CDM ya kuingia kwenye majibizano na kurusha maneno haya kwa CUF! they have exploded!!!! wamekanyaga kinyesi na sasa CUF ndio hao kila kukicha wanatoa makombora. hizi siasa au uadui na CUF unatokea wapi?? CDM wangekuwa na busara sana kama wangekaa kimya na mwisho wa siku tungeona nani mchokozi
kiwewe cha ushindi cha wabunge 40 kimeondoka na chama, cdm is declared the dead party kama ilivyo cuf yenyewe!
CUF sasa wanasema waziwazi na bado hawajaingia kwenye siasa za maji taka,
HUU NDIO UKWELI! wenye akili tumeishaona na kazi sasa ni kuwafumbua macho walioingia kwenye mkumbo! au udanganyifu mkubwa
Ana punguza siku za kuishi bure kwa kuichukia chadema,...bora mda huu angeoa atulie
naona hio kauli kajitolea yeye mwenyewe bila kujijua-nazani angekaa na kufikiri kabla ya kusema-asingezungumza hayo maneno-maana kajitabiria mwenyewe-wao cuf ndo hawawezi shinda hata kwa dawamwenyekiti wa chama cha wananchi (cuf), profesa ibrahim lipumba, amesema anayeamini kuwa chadema, kitatawala nchi hii atambue ni mgonjwa na anatakiwa kwenda kwa mchungaji mwasapile ambilikile, maarufu kama babu kupata kikombe cha dawa.
Akihutubia mkutano wa hadhara kwenye kiwanja cha soko la mitumba, wilayani muheza hivi karibuni, profesa lipumba alisema viongozi wa chadema ni wafanyabiashara hawawezi kuongoza nchi. Kama kuna mwananchi yoyote wilaya ya muheza anaamini chadema inaweza kuongoza nchi hii, basi huyo akanywe kikombe kwa babu huko loliondo, alisema lipumba. Naibu katibu mkuu cuf, julius mtatiro, alisema ccm imewafikisha wananchi wanakula mlo mmoja kwa siku, huku watoto wakienda shuleni na njaa. Mtatiro alisema hali inazidi kuwa ngumu, lakini ccm ambayo imesababisha ugumu huo inaona kawaida vyakula kupanda bei.
Source: Mwananchi machi 26, 2011
waberoya
wewe ni nani ..... wewe ni Synovet , REDET au ni msajili wa vyama.... ni nani anaye declare CDM is dead
you are too much of speculations and mimicking .... hii ikiwa ni utaratibu wako wa kawaida kabisa wa siasa za chuki na upotoshaji
kizuri chajiuza ...kibaya chajitembeza
Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema anayeamini kuwa Chadema, kitatawala nchi hii atambue ni mgonjwa na anatakiwa kwenda kwa Mchungaji Mwasapile Ambilikile, maarufu kama Babu kupata kikombe cha dawa.
Akihutubia mkutano wa hadhara kwenye kiwanja cha soko la Mitumba, wilayani Muheza hivi karibuni, Profesa Lipumba alisema viongozi wa Chadema ni wafanyabiashara hawawezi kuongoza nchi. Kama kuna mwananchi yoyote Wilaya ya Muheza anaamini Chadema inaweza kuongoza nchi hii, basi huyo akanywe kikombe kwa Babu huko Loliondo, alisema Lipumba. Naibu Katibu Mkuu CUF, Julius Mtatiro, alisema CCM imewafikisha wananchi wanakula mlo mmoja kwa siku, huku watoto wakienda shuleni na njaa. Mtatiro alisema hali inazidi kuwa ngumu, lakini CCM ambayo imesababisha ugumu huo inaona kawaida vyakula kupanda bei.
Source: Mwananchi Machi 26, 2011