Prof Lipumba aenda World Bank

Prof Lipumba aenda World Bank

Ameshatoa ushauri gani hapa Tanzania? Nini ambacho ameshafanyia nchi yake ili tumkumbuke kama mchumi?
<br />
<br />
Kama hajapewa nafasi ya kutambulika mchango wake angefanyaje sasa? Ni ukweli usiopingika kuwa nabii hakubaliki hom kwao!
 
Labda akiwa huko atapata akili kidogo ili aache kung'ang'ania kugombea urais pamoja na kushindwa mara nne mfululizo!
<br />
<br />
Umenena....its abt time we have someone else vying for tht coveted post from CUF ticket..Lipumba isn't sellin..
 
pole m.kwere... We endelea kutembeza bakuli la zaka ktk mataifa... wa.kwere ndio zenu... Mwenzio mataifa yanamwamini...haongwi suti!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
cuf si Lipumba wala seif sharif, CUF ni taasisi. yupo mtatiro.
<br />
<br />
Umeongea vizuri sana mkuu, lakini hapo kwa Mtatiro umechemsha. Kama ndugu zangu wa CUF mtakuwa mnamtegemea Mtatiro basi mtaua chama. Jamaa anaongozwa na emotions na sio busara. Ye kwake fujo, maandamano yasiyo na tija ndo siasa. Ulizeni walofanikiwa kusoma nae wawapeni habari zake. Me nmesoma nae mlimani.
 
Hakiwa kama mshauri wa rais wa awamu ya pili alileta mafanikio yapi?
 
Labda akiwa huko atapata akili kidogo ili aache kung'ang'ania kugombea urais pamoja na kushindwa mara nne mfululizo!

Hata mimi nimeshangaa watu wanamsifu, kama alikosa kitengo anachokitaka kwa uimara wake wa uchumi angechukua chaki aimarishe vijana. Huko kata wanapiga makelele hawana walimu, nyinyi mnasema ni mwanauchumi. Aliitumia elimu yake wapi hapa tanzania zaidi ya kipiga tarumbeta la urais.
 
kama inavojulikana ukiwa upinzani wewe ni mpinzani wa serikali iliyo madarakani na kwa kiburi na dharau za ccm juu ya maendeleo ya watu wake hawamsikilizi wala kumjali kabisaaa, huyo ndio angetakiwa awe waziri wa fedha au gavana wa benk kuu bila kujali itikadi ya kichama wala kimtazamo, ila sababu ccm iko kimaslahi na inataka kuwatumia vigogo wa secta nyeti kama remote ndio maana hawamjali wala kumpa heshima lipumba, ila mimi ananiudhi kwa njaa zake za kugombania uraisi anachakachuliwa kura lakini bado halioni hilo, afadhali akawatumikie watu wanaomdhamini kuliko hawa magamba walio kimaslahi zaidi ya maendeleo ya wananchii wake

Ameshatoa ushauri gani hapa Tanzania? Nini ambacho ameshafanyia nchi yake ili tumkumbuke kama mchumi?
 
Kwani ni mara ya kwanza hii kwenda huko??????huyu jamaa huwa anaitwa sana huko,sijui ni kwann hatuntumii,,,,,,sidhan kama kuna nia ya kulijenga hili taifa
Labda akiwa huko atapata akili kidogo ili aache kung'ang'ania kugombea urais pamoja na kushindwa mara nne mfululizo!
<br />
<br />
 
Hakiwa kama mshauri wa rais wa awamu ya pili alileta mafanikio yapi?


Wenyewe wanasema mafanikio ya rais wa awamu ya pili yameonekana kwenye awamu ya tatu, kama ya wa awamu ya nne yatakavyo onekana wakati wa awamu ya sita.
 
Fani yake si kitu na ndo maana haina mchango wowote kwa masikini wa Tanzania ni msindikizaji tu CUF=CCM'B'
 
KUMBUKA YA BAREGU,,,,,,KWANI VIJANA WA KITANZANIA HAWAKUMHITAJI????????
Hata mimi nimeshangaa watu wanamsifu, kama alikosa kitengo anachokitaka kwa uimara wake wa uchumi angechukua chaki aimarishe vijana. Huko kata wanapiga makelele hawana walimu, nyinyi mnasema ni mwanauchumi. Aliitumia elimu yake wapi hapa tanzania zaidi ya kipiga tarumbeta la urais.
<br />
<br />
 
yani huyo mtatiro ndio gamba jipya la caf hakuna tofauti ya ngiri na nguruwe ona maalimu sefu na kupewa uongozi kofia watu wamekufa yeye anapelaka ubani badala ya kutumia nafasi hiyo ya maafa kurudisha imani za wana cuf, kalamba ndoa anakula bata kiherehere kushnei kweli mtanzania mpe ugali na ngono hata familia yake ataisaliti


<br />
<br />
Umeongea vizuri sana mkuu, lakini hapo kwa Mtatiro umechemsha. Kama ndugu zangu wa CUF mtakuwa mnamtegemea Mtatiro basi mtaua chama. Jamaa anaongozwa na emotions na sio busara. Ye kwake fujo, maandamano yasiyo na tija ndo siasa. Ulizeni walofanikiwa kusoma nae wawapeni habari zake. Me nmesoma nae mlimani.
 
Halafu kuna watu eti hudanganyana vijiweni elimu hailipi. Jamani uwe kichwa kama lipumba utalala njaa?
<br />
<br />
Nakubaliana nawe, akina Lema, Mtema, Makamba Senior and the list go on.
 
mimi sijawahi kuskia rais profesa duniani

hata mmoja sijawahi kuskia

thirsty.jpg
 
Prof Ibrahim .H. Lipumba amerejea kutoka igunga ambapo alikuwa anamfanyia kampeni na kumnadi mgombea wa chake cha CUF ambapo amemaliza siku zake za kampeni alizopangiwa na chama na anatarajiwa kuondoka wakati wowote kuanzia Leo kuelekea uswissi ambapo ameitwa na kupewa mkataba wa mwaka mmoja na nusu kama mshauri wa uchumi. watanzani tunakutakia kazi njema.

Mko radhi muwe na waziri wa fedha na uchumi kilaza lakini mnamwacha huyu genius Lipumba. hii ni akili ya wapi?
 
Kati ya wanyamwezi wanaonikera basi ni Prof lipumba. Mkoa wa tabora akiwa kama mchumi mwandamiz aliyewahi kufanya kazi ktk mashirika mengi ya umoja wa mataifa ameshindwa nini kuomba hata mradi mmoja hapa Tbr. Kwa kijiji LOLANGURU hana hata nyumba ya maana. Ameshindwa hata kuboresha kijijin anakotoka kwa kujenga hata nyumba yao ya kifamilia. Usomi wa Manyamwez yakishaelimika hayarudi kwao kuwekeza hata kujenga wao na dar wakifa ndo inakua hadith kwenye misiba wanapoletwa uku. Wanyamwez rudin kwenu mjenge mkoa wenu.
 
Penye RED: Nabii akubaliki kwao. JK ajawai hata siku moja kutaka ushahuri kwake.
SHEIN

huyo dada ndiye mshauri wa raisi mambo ya uchumi https://www.jamiiforums.com/jamii-p...onomic-advisor-to-tanzania%92s-president.html

jk yuko busy na iki kiburudisho
kachagua starehe badala ya mshauri wa uchumi, ili wakijifungia ofisi hapo
magogoni wajadili uchumi vizuri
unacheza nini? ponda mali kufa kwaja
nani kakwambia jk ana mpango na maendeleo ya nchi hii? ukuu wa kaya miaka kumi mwisho
ha kuna viburudisho vya kufa mtu anatumia nafasi yake kwa nafsi yake
 
Panga pangua, hakuna mtu ambaye anayajua majamboz ya economics hapa bongo kumpita huyu prof. Lipumba. Hata credentials zake ni za nguvu mnoo nadhani zimafanya JK amwogope!
Ningekuwa Kikwete huyu jamaa ndie angekua waziri wa fedha na uchumi ama Treasury Secretary. Lakini mko radhi muwe na waziri kilaza na kum-overlook Lipumba!
 
Ameshatoa ushauri gani hapa Tanzania? Nini ambacho ameshafanyia nchi yake ili tumkumbuke kama mchumi?

Wanautaka ushauri wake? Alikuwa akitoa ushauri kipindi cha Mwinyi wakaanza siasa. Akaenda zake Uganda itazame sasa hivi Uganda inavyofanya vizuri. Nchi hii washauri wanaotakiwa ni kama ni wenye kupiga siasa na maneno mengi ya kuwasifu viongozi ndio unachaguliwa. Mnamjua mshauri wa uchumi wa JK kasome CV yake utapata jibu la kwanini uchumi wetu unaenda kombo kila siku. Kila la Kheri Professa Dr Ibrahim Lipumba najua World Bank wanakuhitaji na sasa hizi walivyo na matatizo ya kiuchumi globally wanahitaji vichwa visadie kuokoa hali mbaya ya uchumi wa kidunia.
 
Back
Top Bottom