MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,826
- 5,451
Mkuu nakuona hoja zako wewe zinaongozwa na mihemko na matusi na sio FIKRA.Uko vizur sana.Lkn jua wanaounga mkono juhudi za jpm wanaakili timamu na wana hoja za mcng kuliko hata we unayeishia kutoa lugha za matusi.Nimekua nikifuatilia post zako,sijawahi ambulia hoja zaid ya mihemko,chuki na matusi tu.Kiujumla unalidhalilisha jukwaa kuendelea kubaki humu. We ilitakiwa ubaki fb na insta kwa dada ako wa marekani.Sijibu upuuzi mie, upuuzi wapelekee wapuuzi wenzio mtaa wa lumumba siyo humu.