Prof. Kitila Mkumbo: Ni hatari kwa Kanisa kutoa kauli inayosababisha maumivu na mifarakano badala ya kuponya

Exactly Mkuu! Waraka ule ni mzito haustahili kabisa kujibiwa na mtu mdogo kama huyo bali ujibiwe na mhusika Mkuu ambaye yeye ndiye chanzo cha udhalimu wa kutisha, chuki, visasi ikiwemo utekaji, utesaji na uuaji wa Watanzania wasio na hatia yoyote ile.
Na kuonesha kuwa kaupuuza,wanajibu Vijana kama akina mwakibinga.Saiz Mkumbo ataujibu.Waraka hauna hadhi ya kujibiwa na Rais.Na nafikiri wameona mbali sana,kujibu wa kkkt,ilitakiwa wajibu na TEC na ukitoka mwingine hivyohivyo.So serikal iendelee kuupuza hata chama naona kimeupuuza.Wajibu Vijana na watu wengine.
 
Kwa akili yako fupi. Watanzania mniombee!!!



Na kuonesha kuwa kaupuuza,wanajibu Vijana kama akina mwakibinga.Saiz Mkumbo ataujibu.Waraka hauna hadhi ya kujibiwa na Rais.Na nafikiri wameona mbali sana,kujibu wa kkkt,ilitakiwa wajibu na TEC na ukitoka mwingine hivyohivyo.So serikal iendelee kuupuza hata chama naona kimeupuuza.Wajibu Vijana na watu wengine.
 
Anawajibu kama muumini kama haridhilki na waraka ulitaka akae kimya ? Wakati maaskofu wamehamasisha Uhuru wa kidemokrasia wa kuongea au kutoa ya moyoni bila kubughudhiwa? Anatumia demokrasia wanayosisitiza kuwajibu hawaltakiwi kumfunga mdomo
Jibu sahihi kabisa.Wao wanawachagulia watu cha kusema ili waonekane sahihi.Sijui wanahubiri democracy ipi. Dawa serikal na chama imeupuuza huo waraka kwa kukaa kimya.
 
Habari wanaJF,

Habari nilizozipata hivi punde ni kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Kitila Mkumbo amemuandikia barua Askofu Mkuu wa KKKT, Frederick Shoo akiujibu waraka wa maaskofu hao uliotolewa Machi 24 mwaka huu..

Waraka wa Maaskofu wa KKKT ambao Prof. Mkumbo ameujibu: Maaskofu KKKT: Tunasikitishwa na matukio ya kupotezwa watu, kubanwa kwa Uhuru wa Mahakama, Bunge na Tume ya Uchaguzi...
-------

FROM JF:
Ni kweli. Profesa Kitila Mkumbo ameithibitishia JamiiForums kuhusu waraka aliouandika kwa Maaskofu wa KKKT. JamiiForums itawasilisha waraka huo muda wowote kutoka sasa..

Hapana shaka utakuwa ujumbe wa kipuuzi uliojaa utoto.
 
Je kuna sehemu kwenye yale mapendekezo maskofu wameomba kujibiwa???
Katibu wa maji anajitwisha mzigo usiomhusu, hata kama ni muunini.
Kwani katika ule waraka Kuna sehemu wamekataza kujibu?Je Kuna kiongoz aliyeelekezewa ule waraka? Ungekua wa serikal au chama ungetumwa huko kimya Kimya lkn kwa sasa kila mtu akijisikia anajibu.Mwakibinga kajibu,mkumbo atajibu na mm nikiwa na muda ntajibu
 
Nashangaa hivi hii serikali kila kiongozi hakupewa majukumu yake rasmi. Maana nnashangaa wengi wao wanapenda kurukia majukumu yasiowahusu
Tulia wewe papara ya nini inapotuhumiwa serikali fahamu Kitilya Mkumbo ni sehemu ya serikali,hivyo nae ni mtuhumiwa ,anahaki kujibu hoja za maaskofu,tatizo lenu mnapomshambulia Magufuli personal mnasahau ya kwamba hiyo ni taasisi.
Waambie maaskofu wenu wamechokoza mzinga wa nyuki ,wakae mkao wa kula,si wote wa imani yenu nchini.eti waraka wa viongozi wa dini,wakati ni waraka wa chagadema kama unabisha sikiliza hii
View attachment Lowassa_Aomba_Kura_kanisani_KKKT_Tabora.mp4
 
Habari wanaJF,

Habari nilizozipata hivi punde ni kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Kitila Mkumbo amemuandikia barua Askofu Mkuu wa KKKT, Frederick Shoo akiujibu waraka wa maaskofu hao uliotolewa Machi 24 mwaka huu..

Waraka wa Maaskofu wa KKKT ambao Prof. Mkumbo ameujibu: Maaskofu KKKT: Tunasikitishwa na matukio ya kupotezwa watu, kubanwa kwa Uhuru wa Mahakama, Bunge na Tume ya Uchaguzi...
-------

FROM JF:
Ni kweli. Profesa Kitila Mkumbo ameithibitishia JamiiForums kuhusu waraka aliouandika kwa Maaskofu wa KKKT. JamiiForums itawasilisha waraka huo muda wowote kutoka sasa..
Huyo ni katibu mkuu au msemaji wa chato sports club
 
Kwani katika ule waraka Kuna sehemu wamekataza kujibu?Je Kuna kiongoz aliyeelekezewa ule waraka? Ungekua wa serikal au chama ungetumwa huko kimya Kimya lkn kwa sasa kila mtu akijisikia anajibu.Mwakibinga kajibu,mkumbo atajibu na mm nikiwa na muda ntajibu
Ni haki yako kidemokrasia wakikusomea waraka una haki na wewe kuwasomea waraka wako.democracy is two way traffic not one way
 
Exactly Mkuu! Waraka ule ni mzito haustahili kabisa kujibiwa na mtu mdogo kama huyo bali ujibiwe na mhusika Mkuu ambaye yeye ndiye chanzo cha udhalimu wa kutisha, chuki, visasi ikiwemo utekaji, utesaji na uuaji wa Watanzania wasio na hatia yoyote ile.
Hii serikali kila mtu ni msemaji wa serikali.
Itakuwa vyema na sahihi kama kesho bwana yule angehudumiwa kama muumini wa kawaida humo makanisani sio ile 'piga magoti tukuombee sijui ongea na kanisa etc. bashite naona kanisa analiogopa alitembelea mengi mara nimeokoka mara mniombee kwishney. Karibia na baba nanihiiii ataungana naye
Mungu ashushe gharika tuanze upya
Gharika huwa ina kawaida ya kuangamiza waovu
 
Anawajibu kama muumini kama haridhilki na waraka ulitaka akae kimya ? Wakati maaskofu wamehamasisha Uhuru wa kidemokrasia wa kuongea au kutoa ya moyoni bila kubughudhiwa? Anatumia demokrasia wanayosisitiza kuwajibu hawaltakiwi kumfunga mdomo
Kuhani umepotea njia.
 
Exactly Mkuu! Waraka ule ni mzito haustahili kabisa kujibiwa na mtu mdogo kama huyo bali ujibiwe na mhusika Mkuu ambaye yeye ndiye chanzo cha udhalimu wa kutisha, chuki, visasi ikiwemo utekaji, utesaji na uuaji wa Watanzania wasio na hatia yoyote ile.
ungekuwa karibu!!!
 
Back
Top Bottom