Tetesi: Prof Kitila Mkumbo ndiye hitaji la Wana Iramba kwa sasa

Nawaona watu wengine wanaotajwa ni profesa Majule, jaji kipenka, Jairo na Dr Lyanga
 
Wana Iramba Mashariki wamemuomba radhi sana sana Mh.Rais kwa kosa walilofanya 2010 na 2015 kuchagua Kibaraka wa Mabeberu na wameapa hawatorudia kosa hilo Abadan

Kwa usikivu wa Rais huyu bila ya Shaka atawasamehe kwa kuwa anajua mtoto akinyea kwny kiganja unasafisha mkono sio kuukata
Mwigulu kumbe nae ni kibaraka wa mabeberu!! Sasa wananchi walifanya kosa gani wakat chama ndo kilipeleka jina hilo!!
 
Shindaneni kwa hoja tu hakuna cha wakala salama balozi wa mabeberu atakayechanga karata zake vizuri sisi tutampa kura. Mimi natoka Kizaga nje na hoja
 
Sipati picha mwiguli anavokatiza uku na kuona watu wanajadili nafasi yako hahahaha ndo maana deile namuona anasifia serikali balaa kuliko wenzake wote waliovuliwa uwaziri akitegemea huruma ya kurudi bungeni tu ndo kinachomumiza kichwa atapita kwenye teuzi za mzee na kuna kitila mkumbo kipenzi cha ngosha???jamani mwiguli haumizi kichwa ye kutoswa uwaziri kinachomwumiza saivi akili na apo mwakani chaguzi za ndani uwiiiiiii yajayo yanafurahisha mh.andaa c.v ako nzuri anza kutuma maombi mwakani october cdhani kama utarudi bungeni kupitia ccm maana naona nyie sio chaguo la mtukufu mh.saaana



Najaribu kuwaza tu
 
Kizaga sekondari awajambo yule mwalimu mleviii saaana mkurya 2011/12 yupo anaitwa maro ni zaidi ya liquid alikua
Shindaneni kwa hoja tu hakuna cha wakala salama balozi wa mabeberu atakayechanga karata zake vizuri sisi tutampa kura. Mimi natoka Kizaga nje na hoja
 
Wana Iramba Mashariki wamemuomba radhi sana sana Mh.Rais kwa kosa walilofanya 2010 na 2015 kuchagua Kibaraka wa Mabeberu na wameapa hawatorudia kosa hilo Abadan

Kwa usikivu wa Rais huyu bila ya Shaka atawasamehe kwa kuwa anajua mtoto akinyea kwny kiganja unasafisha mkono sio kuukata

Nina hakika rais atajibu maombi yao kwa kujaza vyombo vya dola na kundi la uvccm, ambayo watasaidiwa na vyombo vya dola kutoka na mabox ya kura na kwenda kujaza za ccm, kisha kwa kutumia madaraka yake ataiagiza tume ya uchaguzi wamtangaze mgombea wa ccm.
 
Hatujabadili vifungu kutokana na shinikizo la mabeberu kwani wao wanaishi hapa TZ kwamba sheria hizo zinawagusa wao??....sheria zimebadilishwa kwa maslahi mapana na watanzania wote ili hata nyinyi vibaraka wa mabeberu mnufaike nazo....pambavu sana nyinyi

Mlipozitunga hamkujua kwamba tulitaka tufaidi? Nawashauri wazungu wasitoe hata senti mpaka sheria zote za kishenzi zifutwe. Hanithi mkubwa ww.
 
Hatujabadili vifungu kutokana na shinikizo la mabeberu kwani wao wanaishi hapa TZ kwamba sheria hizo zinawagusa wao??....sheria zimebadilishwa kwa maslahi mapana na watanzania wote ili hata nyinyi vibaraka wa mabeberu mnufaike nazo....pambavu sana nyinyi
Wewe kinena, barua imetoka wizara ya fedha na kuomba vifungu vibadilishwe kwasababu misaada ya fedha imesitishwa na mabeberu ndiyo hapo MaCCM mkakubali kuchutama na beberu akawachomeka ukuni.
 
Sipati picha mwiguli anavokatiza uku na kuona watu wanajadili nafasi yako hahahaha ndo maana deile namuona anasifia serikali balaa kuliko wenzake wote waliovuliwa uwaziri akitegemea huruma ya kurudi bungeni tu ndo kinachomumiza kichwa atapita kwenye teuzi za mzee na kuna kitila mkumbo kipenzi cha ngosha???jamani mwiguli haumizi kichwa ye kutoswa uwaziri kinachomwumiza saivi akili na apo mwakani chaguzi za ndani uwiiiiiii yajayo yanafurahisha mh.andaa c.v ako nzuri anza kutuma maombi mwakani october cdhani kama utarudi bungeni kupitia ccm maana naona nyie sio chaguo la mtukufu mh.saaana



Najaribu kuwaza tu
Yupo hapa Mwigulu Nchemba
 
Yaani wanairamba wanamtaka mgombea wa ccm?, Kweli wamefilisika kifikra
 
Serikal Sikivu sifa yake ni kusikliza

Sikivu au jumuiya ya kimataifa imewachania chupi? Kama Mchonga alikuwa na akili na bado wazungu walimshikisha adabu, itakuwa huyu nguvu nyingi akili kisoda?
 
Sipati picha mwiguli anavokatiza uku na kuona watu wanajadili nafasi yako hahahaha ndo maana deile namuona anasifia serikali balaa kuliko wenzake wote waliovuliwa uwaziri akitegemea huruma ya kurudi bungeni tu ndo kinachomumiza kichwa atapita kwenye teuzi za mzee na kuna kitila mkumbo kipenzi cha ngosha???jamani mwiguli haumizi kichwa ye kutoswa uwaziri kinachomwumiza saivi akili na apo mwakani chaguzi za ndani uwiiiiiii yajayo yanafurahisha mh.andaa c.v ako nzuri anza kutuma maombi mwakani october cdhani kama utarudi bungeni kupitia ccm maana naona nyie sio chaguo la mtukufu mh.saaana



Najaribu kuwaza tu

Na vile alikuwa anafanyia watu ukatili enzi za JK akidhani madaraka ni kitu cha kudumu, leo haamini macho yake. Haamini kwamba itabidi aishi maisha ya kuajiri mlinzi wa nyumbani kwake huku akiwa nje ya VX la serekali. Zile nyodo zote zitafikia ukingoni huku akizungukwa na jamii aliyoishi nayo kwa kuogopwa na kusujudiwa. Mungu nipe maisha marefu nione mwisho wa hawa madhalimu.
 
Wana Iramba Mashariki wamemuomba radhi sana sana Mh.Rais kwa kosa walilofanya 2010 na 2015 kuchagua Kibaraka wa Mabeberu na wameapa hawatorudia kosa hilo Abadan

Kwa usikivu wa Rais huyu bila ya Shaka atawasamehe kwa kuwa anajua mtoto akinyea kwny kiganja unasafisha mkono sio kuukata
Tena kama ni iramba sawa kabisa ili 2020 wachague chadema maana ccm ni wapumbavu na waongo zile 50million ziko wap?
 
Back
Top Bottom