Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,675
- 126,903
Agombee tu
Pole sana. Lakini si vema kutoa lugha mbaya.Hapa ndipo nnapogombana na haya manyumbu,yaani ccm unges.e chadema ndio unges.e kipeuo cha pili
Si vema kutoa lugha chafu. Lakini kama unafikiri zinafaa just keep on.Huyo mkumbo angekuwa mwanamke nadhani angeolewa na zitto
Maana anafuata maamuz yote ya msalit
Profesa gani huyu
Hawa cdm hovyo kabisaAmeshuka ila nyie mliompendekeza Waziri Mstaafu wa Mambo ya Ndani haina shida wakati yeye Mkumbo hajawahi kuwa hata Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa....
Bavichaa acheni uzandiki
Hawa ma profu hawa njaa tu ... huyu kitila mkumbo atakuja kua kama lipumba mark my words.Imethibitika, Prof. Kitila Mkumbo kupitia ACT Wazalendo amepitishwa kuwa anawania nafasi ya kuiwakilisha Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki
My take, Prof Kitila ameshuka!, hii nafasi awaachie vijana na watu wengine, ACT ina vijana na rasilimali watu ya kutosha.
Why hao hao tu kwa kila kitu
Umetumia haki yako ya kikatiba, lakini angalia hao wanaokufanya uichukie ACT, kuna wengine wameshaanza kuhudhuria mikutano yetu.ACT - Alliance of Cowards and Traitors.
Hupaswi kulaumiwa kwani upeo wako wa kufikiri ndipo ulipoishia.Hawa ma profu hawa njaa tu ... huyu kitila mkumbo atakuja kua kama lipumba mark my words.
Mark my words... neggroHupaswi kulaumiwa kwani upeo wako wa kufikiri ndipo ulipoishia.
Hata macho yana upeo fulani wa kuona.
Dah!Maprofesa wa TZ ni Mizigo,Yaani anaacha kufundisha Chuo anaenda Kukimbilia UBunge wa EALA kisa Mshahara Mkubwa,Kweli ameshindwa kutumia elimu yake kupata fedha zaidi za huko EALA? Hizo nafasi ni za Kina Le Mutuz na Kina BASHITE.
Mwl twahil waeleze hao. Kwa wagombea wa kutoka upinzani mie naona wabunge wote watuchagulie hawa hapaAmeshuka ila nyie mliompendekeza Waziri Mstaafu wa Mambo ya Ndani haina shida wakati yeye Mkumbo hajawahi kuwa hata Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa....
Bavichaa acheni uzandiki
I CAN'T. SIJAWAI RUHUSU KICHWA CHANGU KUAMINI UTABIRI.Mark my words... neggro
Unamuona huyu Bwana MULLAORIGINAL?I CAN'T. SIJAWAI RUHUSU KICHWA CHANGU KUAMINI UTABIRI.
Nazani Prof angegombea kwa chama unachokiamini wewe ungemuita jembe.
Where you are.Mwl twahil waeleze hao. Kwa wagombea wa kutoka upinzani mie naona wabunge wote watuchagulie hawa hapa
1.Prof Kitila
2.Mnyaa
3.Msando kama atagombea
Nikizielewa sera zenu na misimamo yenu, na mimi nitakuja tu.. hii si democrasiaUmetumia haki yako ya kikatiba, lakini angalia hao wanaokufanya uichukie ACT, kuna wengine wameshaanza kuhudhuria mikutano yetu.