Prof. Kitila Mkumbo kugombea ubunge Afrika Mashariki

Prof. Kitila Mkumbo kugombea ubunge Afrika Mashariki

ACT Wamecheza hesabu kama za Barcelona kwa PSG. Kitila anaweza kupenya Tundu la Sindano kwa sababu kaitumikia sana Serikali ya CCM hivyo wamekuwa marafiki!
 
Imethibitika, Prof. Kitila Mkumbo kupitia ACT Wazalendo amepitishwa kuwa anawania nafasi ya kuiwakilisha Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki

My take, Prof Kitila ameshuka!, hii nafasi awaachie vijana na watu wengine, ACT ina vijana na rasilimali watu ya kutosha.

Why hao hao tu kwa kila kitu
Anagombea kupitia chama gani??? Nafasi zishajaa.CCM wamepewa nafasi 6, Chadema 2 na CUF 1. Wawakilishi ni 9 tu. Hivyo vyama vimepewa nafasi kutokana na idadi ya wabunge wao bungeni.ACT haikupewa nafasi kwa kuwa na mtu 1 bungeni
 
Anagombea kupitia chama gani??? Nafasi zishajaa.CCM wamepewa nafasi 6, Chadema 2 na CUF 1. Wawakilishi ni 9 tu. Hivyo vyama vimepewa nafasi kutokana na idadi ya wabunge wao bungeni.ACT haikupewa nafasi kwa kuwa na mtu 1 bungeni
Kila chama chenye mwakilishi bungeni kina haki ya kutoa mgombea wa bunge la africa mashariki!

Ina maana hukijui chama prof anachokitumikia?
 
Imethibitika, Prof. Kitila Mkumbo kupitia ACT Wazalendo amepitishwa kuwa anawania nafasi ya kuiwakilisha Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki

My take, Prof Kitila ameshuka!, hii nafasi awaachie vijana na watu wengine, ACT ina vijana na rasilimali watu ya kutosha.

Why hao hao tu kwa kila kitu
..."mti wenye matunda........"
 
Nafikri hapa tukubaliane jambo moja,, kwamba ni haki yake kugombea kwa mujibu wa katiba yetu! Go Professor, Go Prof. Mkumbo!!
 
Imethibitika, Prof. Kitila Mkumbo kupitia ACT Wazalendo amepitishwa kuwa anawania nafasi ya kuiwakilisha Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki

My take, Prof Kitila ameshuka!, hii nafasi awaachie vijana na watu wengine, ACT ina vijana na rasilimali watu ya kutosha.

Why hao hao tu kwa kila kitu
Bavicha bana!Yaani unasema Pofessor ameshuka wakati hata form four hujafika!hii inapatikana Tanzania tu
 
Imethibitika, Prof. Kitila Mkumbo kupitia ACT Wazalendo amepitishwa kuwa anawania nafasi ya kuiwakilisha Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki

My take, Prof Kitila ameshuka!, hii nafasi awaachie vijana na watu wengine, ACT ina vijana na rasilimali watu ya kutosha.

Why hao hao tu kwa kila kitu
Waluko kwani jamaa ni mzeee
 
Ameshuka ila nyie mliompendekeza Waziri Mstaafu wa Mambo ya Ndani haina shida wakati yeye Mkumbo hajawahi kuwa hata Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa....

Bavichaa acheni uzandiki
Lakini kumbuka huyu ni mwanazuoni nguli
 
Mwambie masha kajizalilisha naona kakosa kiki ya kutokea kaona ajaribu ubunge
Huko alikoenda Masha kachemka sipati picha siku ya kampeni anajieleza kwa kile kingereza chake cha kimarekani koko kile cha kuongea ukiwa umebana pua na ukiongea kwa mbwembwe halafu atatoka pale kapa bila kupata kura za kushinda. Kiingereza cha Masha kinaelekea ukingoni kwa waswahili bungeni kumpiga chini na kiingereza chake
 
Anachotafta ni kuwakilisha chama chake maana hawezi kushinda. Washindi wote watakuwa ni wa kutoka ccm. Au kura hazipigwi na wabunge wa jmt?
 
Back
Top Bottom