Ripoti ya Raisi wkt Raisi mwenyewe alisema watanzania tunaibiwa, sasa kwann ripoti isiwe ya watanzania, ww waziri rudi shule.
Ripoti ya Raisi wkt Raisi mwenyewe alisema watanzania tunaibiwa, sasa kwann ripoti isiwe ya watanzania, ww waziri rudi shule.
Mkuu hawa watu hawajielewi, wanasahau sana, sijui ni kwa makusudi au bahati mbaya, labda hajui hili la Bodi ya mikopo. Mwanasheria unatakiwa kuwa makini sana na kauli yako. Kufanya rejea ni kitu muhimu sana kabla ya kuzungumza chochote, hasa kwa hawa wanasheria.(Nafasi ya Everiest)
Mbona sheria ya bodi ya mikopo 15% ilirudi nyuma?
Ha! Ha! Ha! Mimi naandaa maandamano ya kupongeza Mh Rais , kutoka Kyela hadi Mbeya mjini .Akitoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wajumbe wa Kamati ya Madini ya Bunge,Prof.Kabudi amesema kwamba sheria huanzia pale ilipotungwa kwenda mbele na sio kurudi nyuma. Akifafanua swala hilo waziri anasema kuwa mikataba iliyokwisha ingiwa kipindi kilichopita haitaguswa na sheria mpya ya madini. Waziri ameongeza kuwa kutafanyika majadili na makampuni hayo kuona jinsi ya kuweka mambo sawa.
Hivyo sheria mpya ya 2017 itahusu kampuni zitakazofuata.
Mjumbe wa kamati Mh.Mnyika ameomba kuwa kama base ya sheria mpya ya madini ni ripoti ya makinikia basi ripoti hiyo wapatiwe wabunge ili waone kama recommendations za Kamati ya Makinikia zimezingatiwa. Akijibu swali hilo Kabudi amejibu kwamba ripoti hiyo ni ya Mh.Rais hivyo haitatolewa kwa mtu yeyote
My Take
Namuelewa sana Tundu Lissu mpaka naumia
Umemskia vubaya ndugu yangu. Ameaema hazitawahusu wachimbaji wadogo tu. I hope you suffer from hearing disorderAkitoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wajumbe wa Kamati ya Madini ya Bunge,Prof.Kabudi amesema kwamba sheria huanzia pale ilipotungwa kwenda mbele na sio kurudi nyuma. Akifafanua swala hilo waziri anasema kuwa mikataba iliyokwisha ingiwa kipindi kilichopita haitaguswa na sheria mpya ya madini. Waziri ameongeza kuwa kutafanyika majadili na makampuni hayo kuona jinsi ya kuweka mambo sawa.
Hivyo sheria mpya ya 2017 itahusu kampuni zitakazofuata.
Mjumbe wa kamati Mh.Mnyika ameomba kuwa kama base ya sheria mpya ya madini ni ripoti ya makinikia basi ripoti hiyo wapatiwe wabunge ili waone kama recommendations za Kamati ya Makinikia zimezingatiwa. Akijibu swali hilo Kabudi amejibu kwamba ripoti hiyo ni ya Mh.Rais hivyo haitatolewa kwa mtu yeyote
My Take
Namuelewa sana Tundu Lissu mpaka naumia
Nimefikiri kama wewe,migodi muhimu tayari ina mikatabaTumepigwa tena! kwa hiyo migodi iliyopo mwendo mdundo kama zamani 4%? sasa tulikuwa tunasifia nini sheria hizo mpya? Dhahabu yenyewe ndio hiyo inajiishia na kweli mzungu hatumuwezi.
Zilikuwa ni kelele za kisiasa tuu
Ndugu umeanzia mwisho wakati inahitimisha akijibu swali la mjumbe kuhusu wachimbaji wadogo.tulia mkuuUmemskia vubaya ndugu yangu. Ameaema hazitawahusu wachimbaji wadogo tu. I hope you suffer from hearing disorder
Hawa pia walisha kula chao..!! Hakuna cha uzalendo hapoTumepigwa tena! kwa hiyo migodi iliyopo mwendo mdundo kama zamani 4%? sasa tulikuwa tunasifia nini sheria hizo mpya? Dhahabu yenyewe ndio hiyo inajiishia na kweli mzungu hatumuwezi.
Zilikuwa ni kelele za kisiasa tuu
Tulishasema mapema kwamba ccm ni laana , huyu Kabudi ( Naomba nitoe siri hadharani ) , Mimi binafsi nilimtahadharisha kuhusu ushirikiano wake na ccm , kinachofuatia ni yeye kudhalilika kwa kiwango cha kudharauliwa mpaka na wanawe .(Nafasi ya Everiest)
Mbona sheria ya bodi ya mikopo 15% ilirudi nyuma?
Hii ndo ile ya "ukipenda chongo....huita kengeza"Umemskia vubaya ndugu yangu. Ameaema hazitawahusu wachimbaji wadogo tu. I hope you suffer from hearing disorder
Wakati anahitimisha majibu hajaongea hivyo ispokuwa amesema haitwagusa wachimbaji wadogo.Ndugu umeanzia mwisho wakawadogo. hitimisha akijibu swali la mjumbe kuhusu wachimbaji wadogo.tulia mkuu
Makinikia yanaendelea kwenda ulaya kama kawaida,Umemskia vubaya ndugu yangu. Ameaema hazitawahusu wachimbaji wadogo tu. I hope you suffer from hearing disorder
Hawa bavicha wenyewe kazi yao ni kupindisha tu kilichosemwa. Nadhani mboe aliwaagiza hivyoHii ndo ile ya "ukipenda chongo....huita kengeza"
We subili furaha yako lakini haitatokea jpm kakaba kila kona. Upinzani are not creative any more. Wanasubili kinachoongelewa tu ili wapindishe kama walivyoagizwa na lisu na mboeMakinikia yanaendelea kwenda ulaya kama kawaida,
Endeleeni kusubiri noah zenu zinakuja.
Mkuu umesoma na kuelimika?umesoma angalau basics za sheria,kama ndiyo huwezi kulishangaa hili kwa akili ya kawaida.tofauti na hilo basi na wewe ni miongoni mwa wanaosubiria noahHawa bavicha wenyewe kazi yao ni kupindisha tu kilichosemwa. Nadhani mboe aliwaagiza hivyo