Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Swali la Kwanza: Zitto Kabwe ameuliza Bungeni kwanini tushtakiwe na Acacia wakati tuna mazungumzo nao?
Swali la Pili: Serikali pia ilitoa taarifa kwa umma kuwa tuliahidiwa kishika uchumba cha dola milioni 300 sawa na Tsh bilioni 700 na mpaka sasa hatujapata, na sasa sasa serikali imefungua kesi dhidi ya makampuni tanzu ya Acacia ya Bulyanhulu na Pangea kwa masuala yanayohusiana na tax avoidance, na hili ndio suala ambalo Serikali ilitakiwa kufanya tangia mwanzo na sio kadhia zote zile za makinikia. Je, serikali imejifunza kutumia maarifa kwenye kukabiliana na changamoto mbalimbali za nchi badala ya kutumia mabavu?
Majibu: Serikali haitatamka jambo lolote kwa kuwa itahatarisha hoja za serikali katika kesi hizo, na mtego huo uwe wa bahati mbaya ama wa kutumwa, profesa Kabudi hatonasa kamwe....
Swali la Pili: Serikali pia ilitoa taarifa kwa umma kuwa tuliahidiwa kishika uchumba cha dola milioni 300 sawa na Tsh bilioni 700 na mpaka sasa hatujapata, na sasa sasa serikali imefungua kesi dhidi ya makampuni tanzu ya Acacia ya Bulyanhulu na Pangea kwa masuala yanayohusiana na tax avoidance, na hili ndio suala ambalo Serikali ilitakiwa kufanya tangia mwanzo na sio kadhia zote zile za makinikia. Je, serikali imejifunza kutumia maarifa kwenye kukabiliana na changamoto mbalimbali za nchi badala ya kutumia mabavu?
Majibu: Serikali haitatamka jambo lolote kwa kuwa itahatarisha hoja za serikali katika kesi hizo, na mtego huo uwe wa bahati mbaya ama wa kutumwa, profesa Kabudi hatonasa kamwe....