Nakumbuka mwaka 2010 wapinzani waligomea kuapishwa kwa raisi,Lipumba aliunga mkono.Napata Shaka anaweza kutumiwa na wapinzani wa UKAWA kudhoofisha mapambano ya mabadiliko.Naamini Lowasa sio msafi na pia viongozi wa UKAWA si safi pia.Lakini kuna wakati wa kuleta mabadiliko tunahitaji kuungana na adui.Kila la Kheri Prof,aluta continua Ukawa hadi tufike
Acha u.p.u.m.b.a.v.u. wewe. Unaanza kukandya utafiri unajua sababu ambayo imemfanya achukue maamuzi haya. Ni ujinga kulaumu wakati hujui kwa nini kaamua hivi. Unajua madudu gani yamefanyika kule au wewe mawazo yako ni kuchukua madaraka tu. Tumia akili uliyo nayo. Inawezekana kabisa amejiuzuru kwa manufaa ya nchi na wananchi wake, who knows. Wewe unajua wafanya biashara wale wana mlengo gani. Usitake tutoe matusi bure hapa.
Niliwahi kuainisha baadhi tu ya sababu ambazo zimemfanya Prof kujiuzuru, tafadhali rejea. Na zipo sababu nyingine nyingi tu ambazo zikiwekwa wazi sasa hivi ukawa itapasuka vipande vipande. Kwa interest ya nchi wewe pita kimya kimya, tena usirudi tena huku
Aiseee sasa alikuwa anafanya nini pale siku ya kumtangaza Lowasa... hawa watu bana wanatuvunja moyo sisi wapiga kura... mtu umeshindwa 95,2000,2005,2010 bado tu wataka na wewe khaaa
We ni zezeta tuKwelimleo nimeamini kichwani wewe ni mtupu. UKAWA unaundwa na nani? We gebwe kweli
Kuiondoa CCM ya Magufuli ambaye siyo mla rushwa, ni mcha Mungu na pia ni mchapa kazi na kumwingiza mla rushwa aliyeshindikana CCM, Lowassa, pamoja na mla rushwa wa BOT ambaye aliikimbia shule Mbowe, ni sawa na kuruka mkojo wa mtoto na kujitumbukiza kwenye choo cha shimo kilichojaa vinyesi vilivyokomaa.
Natamani kujua chanzo cha habari hii! lakini hata hivyo kaulimbiu pamoja na kukubaliwa na chama kwamba itumike, kwa kawaida ni pendekezo la mgombea!
Sasa hapo CHADEMA ndio itakuwa inapingana na maelezo yake kwamba tatizo sio lOWASA BALI MFUMO WA CCM KWAMBA NI MBAYA HALAFU TUNABEBA TENA MIFUMO YA CCM KUTOKA KWA lOWASA NA KUILETA CHADEMA WAKATI MBOWE ALISEMA MTAMBADILISHA LOWASA HAPA BADO HAJAWA RAIS ATAKAPOKUWA RAIS SI ATAFANYA KILA KITU ANAVYOJISIKIA?
Unamkubali Lowassa ndani ya moyo hadi ukaamua kuweka avatar ya image yake..lakini kwa nje unajifanya kumponda...teh teh tehKuiondoa CCM ya Magufuli ambaye siyo mla rushwa, ni mcha Mungu na pia ni mchapa kazi na kumwingiza mla rushwa aliyeshindikana CCM, Lowassa, pamoja na mla rushwa wa BOT ambaye aliikimbia shule Mbowe, ni sawa na kuruka mkojo wa mtoto na kujitumbukiza kwenye choo cha shimo kilichojaa vinyesi vilivyokomaa.
Huyo mtu kauza nyumba za serikali kibao...Naheshimu maoni yako ila naamini kwakuwa kwake CCM na serikalini hata kama nakuwahi kula rushwa(japo sina uhakika) ila kuna wakati alitumika kama muhuri kupitisha maovu.Kama samaki mmoja akioza wote wameoza.Dr Pombe hawezi kujiita msafi hivyo ile hali alikuwa ni sehemu ya mfumo.