Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

everybody has its price! tunamtakia kheri uko aendako kwenye list wa walionunulika!
 
alitakiwa asijiuzulu ila aongoze chama chake wajitoe ukawa.maana sababu aliyo itoa ni kuto kukubalika kwa makubaliano na viongozi wenzake wa ukawa.sasa kujiuzulu tu ni kukikomoa chama cha cuf badala ya kukikomboa chama cha cuf

Chama siyo chake cha Maalim ambaye kashaungana na UKAWA. Maalim wanted him only to fulfill legal requirements ya lazima chama kiwe cha pande mbili. Now Chadema has been sub-contracted to represent CUF Bara and CUF has been sub-contracted to represent CDM Znz. So Prof is declared useless and redundant.
 
Kwa nini asikae kimya mpaka uchaguzi uishe ndipo ajiuzulu? Siasa za waafrika hazina tija,wanasiasa hawaaminiki. Ataje ni makubaliano yapi? Hawa ndio wanarudisha nyuma mabadiliko.
ndo ujue alivyokuwa mnafiki machoni cuf moyoni ccm .
 
Mi niliwahi kusema humu mwanzon mwa mchakato wa Dr. Slaa kutokujionyesha, nilisema sifatilii tena siasa nibora niendelee na majukum yangu.
Kwa akil yangu ndogo najiuliza tatzo n nin? Kama ni lowasa si yeye na wenzake walimkaribsha na kumtetea kwa waandish wa hbr? Kama n ubunge juz nasikia mbowe amewataarif kabsa wagombea wake kuwa kuna wengne watalazimika kuachia majimbo ili vyama washirika wagombee? Kama n kuhama kwa Duni, si ni yeye Prof. Alikubali kwa moyo mweupe duni kuondoka usiku wa kuamkia j4? Na kama tatzo ni ukawa yan wameshndwa kukutana tena na kuyazungumza waliyokubaliana ili wayamalize? Pia kama n tatzo ukawa inakuaje Uenyekit wa CUF uhusike? Hapo ndipo nashndwa kuelewa na inanibidi niwe nauchek mchezo unavyokwenda japo naiona tz yangu mikonon mwa walewale majambaz. Ngoja nikaendelee na kaz yangu nisije kufukuzwa

Timu Membe kazini => Yale Mabilioni ya Dola za Marehemu Gadafi sasa yamefukuliwa Kutoka kwenye mahandaki nyumbani Kwa Membe kaja na kasi ya kumkomoa na kumkwamisha Lowasa kaapa atawavuruga Ukawa wote Kwa kuwanunua Kama njiwa.
 
Imefika mahal citizens tuamue tunataka kuipeleka wapi hi nchi viongoz waliokuwa mstar wa mbele kutuaminisha mabadiliko wanaachia ngaz hali wanahtajika liwalo na liwe wakae pembeni mabadiliko lazima vijana wa nchi hii tujitambue tufanye maamuzi ya busara kuelekea uchaguzi mkuu.
Naunga mkono hoja yako hawa wanasiasa hawaeleweki wao hawana shida wananchi ndo wanaoumia.
 
something is Wrong, umoja huu wa wapinzani wameanzisha vizuri na amemkaribisha lowassa leo yamekuwa haya..something is wrong
 
Prof. Ibrahim Lipumba ametangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti kwenye chama chake cha Wananchi CUF.

Ametangaza kuachia ngazi uenyekiti wa chama hicho mapema leo, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika hoteli ya Peacok.

Amesema amechukua uamuzi huo kutokana na UKAWA kushindwa kusimamia makubaliano yao.
attachment.php

Chanzo: Nipo kwenye kikao

Kazi ya CCM kuwavuluga tu
 
cheap Argument!! Bora angesema chama chake kimemtingisha na akatingishika. Maana kama ni UKAWA nilitegemea aseme Chama chake kimejitoa. Too Personal Lipumba
 
Back
Top Bottom