Seif al Islam
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 2,156
- 638
Lipumba alipaswa kujiuzulu zaman.ameshiriki kuiua CUF huku bara
alikaribishwa kuuona mwnachama mpya wa CHADEMA ;
Lakini sio Mgombeaji wa Ukawa; CUF hakuna kunyoosha mikono kuchagua mgombea uraisi ; ni process
ushenzi wa mbowe unatugharimu wapenda mabadiliko
Kumekucha.uchu uchu madaraka aiseeee... uraisi kazi kama kazi nyingine
Kwanini uchu wa Madaraka awe nao LOWASA tu isiwe CCM iliyotawala zaidi ya 50yrs nabado wanataka wapewe tena nafasi
alikaribishwa kuuona mwnachama mpya wa CHADEMA ;
Lakini sio Mgombeaji wa Ukawa; CUF hakuna kunyoosha mikono kuchagua mgombea uraisi ; ni process
ushenzi wa mbowe unatugharimu wapenda mabadiliko
Kwanini hamkustaki akiwa kwenu CCM
Source pls
Yaani Lipumba hao watu walikupiga, wakakupeleka mahakamani na bado leo hii wanakusumbua khaaaa.
Yaani Slaa, Lipumba mmenihuzunisha sana sikutegemea kama nyinyi ndio mngeturudisha nyuma hivi.....
Natamani mngejua jinsi gani sisi twaumia, nilijua mwaka huu wetu kuiondoa CCM ila naanza ona ndoto ikififia taratibu sana...
Kwa wananchi wapenda mabadiliko mnatuchanganya kwa kweli ninyi viongozi wakuu wa upinzani,pana watu wanataka tuishi hivi hivi bila ya mabadiliko..
He Is good Man. He deserves respect. Siyo dharau na matusi. Lets respect his decision.Ndio mana Kenya huwezi kukuta mwanasiasa ana njaa... Kama hawa wakina Lipumba
Ajivue kabisa na uanachama kama anataka kulinda heshima yake