Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Hujaelewa, watu wanavamia fx wakihisi wanaenda tu piga faida kitu ambacho siyo kweli ndiyo maana walianza wengi waliobaki wachache.Nimecheka nilivyona kwamba sio kila anae fanya biashara anataka Faida
Nimekwambia bitcoin mimi nazinunua na kuziuza kwasababu mbili, moja nazihold kuziuza zikipanda value niuze, hii inanipa faida, jambo la pili nanunua na kuuza kama means ya ku exchange pesa kuwa fiat money. Mfano kuna kipindi nlikuwa natumia ela ya skrill au paypal kununua bitcoin halafu namuuzia mtu ambaye analipa kwa mpesa. Njia hii lazima nile hasara maana hapa lengo kubadilisha fedha tu na ntanunua ghali na kuuza low kwakuwa sitaki kuishikilia nachotaka ni mtu anitumie pesa tu
Tatizo lingine ni kwamba kwasasa cryptos ni more like commodities not currencies.
Ila siku zinavyoenda itakaa sawa ni kitu kisichoepukika