Ndugu zangu waliopo viwanja vya nyumbani ambao mlipata nafasi ya kuangalia kipindi cha Jenerali on Monday jana wakiongelea miaka minane baada ya kifo cha Mwalimu tusaidieni kutupa mambo maana wengine ndio hivyo tena.....
Kipindi kinarudiwa saa hizi in next 30 mins Channel ten. Kaka upoooo? Kilikua kipindi kizuri sana, Maswali kutoka kwa wasilikilizaji yalikua makali sana, sijui kama watakua wameyakata ama la
kipindi kilikuwa kizuri sana, na kwa kweli jamaa walitupa vipande vya nondo si mchezo,ukitafakari kwa kina utaona kuwa Muungwana na timu yake yote wako parallel na Mwalimu' philosophy...alinikosha sana Dr. Mwambi pale aliporejea hotuba ya Mwalimu kule Mbeya mwaka 1995 kuwa alimuuliza Lowassa kuwa iweje kijana kama yeye (wakati ule) awe amejilimbikizia ma li halafu tena autake urais,au kuwa Ikulu kuna nini mpaka watu wapakimbilie,je ni kufanya biashara?Ni bahati mbaya sana kuwa mwalimu (RIP) did not live to see mpendwa wake (kibaka Mkapa) alivyoigeuza Ikulu kibanda chake cha biashara na kuwa aliowakataa kipindi kile (Kikwete na Lowassa)ndo wapangaji wa sasa pale Magogoni wakiwa na wadau wenzao kina Karamagi,Rostam Aziz et al (wote wafanyi biashara!!!)...Mungu Ibariki Tanzania...
Ni kweli Bro..
Kibaya zaidi ni kwamba hiyo biashara ya ikulu ni ya kuuza rslimali zetu na tuki zubaa hadi nchi yote itachukuliwa.. hebu angalia ya Sinclair?? kwamba ana own 'green stone belt yote ya Lake zone??? kama si kuuza nchi ni nini?
Mara hao wanaotaka wapewe hekari 800?? eti walime miwa?? mi nawambieni tunauzwa tukijiona.. na hiyo ndo biashara iliyopo ikulu period!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.