Prof. Baregu aivuruga CHADEMA

Prof. Baregu aivuruga CHADEMA

Ni kweli mchakato wa katiba mpya umevurugwa kwa makusudi lakini pamoja na uvurugaji huo bado kuwepo kwa watu makini ndani ndani ya tume kunaweza kusaidia kuondoa huo uchafu
Lakini waliobariki uvurugaji huo ni pamoja na wabunge wa chadema ambao mwanzo walisusia na baadae wakaenda kufanya mazungumzo na rais kisha kupitisha nmapendekezo ya serikali pamoja na serikali kutotekeleza kama walivyokubaliana
Wengi hawakumuelewa jaji Wrioba aliposema hawawezi kubadilisha taratibu za uchaguzi wa kata kwa sababu zimepitishwa na bunge
Toka mwanzo ccm hawakuwa na nia ya kutengeneza katiba mpya baada ya kuona shikinizo ni kubwa walikubali huku wamejiandaa kuivuruga
Bado tunajiuliza kwanini wabunge wa jamhuri na wawakilishi wawe wajumbe wa bunge la katiba tutakapofika huko malalamiko yatakuwa hayo hayo
 
Nadhani ungebadilisha heading sio Prof Baregu aivuruga CHADEMA ila ingeleta maana kama ingesomeka CHADEMA WAMVURUGA PROF BAREGU .

Huyu Mzee Prof Baregu anatumia muda wake na akili zake alizojaliwa na MUNGU kusaidia kupata Katiba mpya na sio hao CHADEMA wanaotaka Public sympathy ili waende Ikulu !

Narudia tena Mwaka 2015 CHADEMA wakiingia Ikulu mnichome moto nikiwa hai !

Kuna mwenzako wa Arusha upande wa Magamba alitoa kauli yenye mlengo sawa wa kutenganisha nafsi na mwili. Ni pale aliposema "Lema akirudi bungeni nakunywa sumu". Ilipofika Mh. Lema kurudi bungeni na kulipwa fedha za kutosha nduguyo alionekana akichangia hadi jana kwenye baadhi ya mada. Na wewe usije omba hisani ya watanzania tukuhurumie.
 
Rafiki,
Dr Slaa hana njaa.
Utajiri na hazina kubwa ya Elimu ni utajiri tosha anaojivunia.

kama ni pesa,Akili yake inauwezo wa kumuingizia mamilioni.
Watanzania yawapasa kufikia sehemu mruhusu ubongo ufanye kazi.watu kama wewe ni janga Taifa.

Kama Bwana wako hana njaa mbona kakupa tenda ya kuweka mfumo wa kompyuta bila kufuata taratibu? mnajipopesha mapesa ya kujengea nyumba nje ya utaratibu hii sio tu njaa bali ni ufisadi ulio kubuhu.

Iweje chama kilipe mpaka posho wa house girl wenu mkienda kutembea Arusha?

Nakubaliana na wewe akili yake ukichanganya na ya kwako mnakwapua mahela ya ruzuku kama mchwa anavyo kula gogo.

Josephine wewe ndie janga la taifa umemuacha mume wako wa ndoa kufuata fedha kwa Padri unajidhalilisha
 
Hata alichokisema Prof. Baregu pamoja na kuwa gazeti lenu limechakachua lakini bado tu hujamuelewa kwa sababu ya utando wa akili yako unaposoma na kujadili mambo ya chama makini hapa nchini cha Chadema.

​Hiki ni chama cha cdm ni makini kwenye familia yenu ila si kwa watanzania. Nilitaka kuweka saw a hapo tu mkuu.
 
Kama Bwana wako hana njaa mbona kakupa tenda ya kuweka mfumo wa kompyuta bila kufuata taratibu? mnajipopesha mapesa ya kujengea nyumba nje ya utaratibu hii sio tu njaa bali ni ufisadi ulio kubuhu.

Iweje chama kilipe mpaka posho wa house girl wenu mkienda kutembea Arusha?

Nakubaliana na wewe akili yake ukichanganya na ya kwako mnakwapua mahela ya ruzuku kama mchwa anavyo kula gogo.

Josephine wewe ndie janga la taifa umemuacha mume wako wa ndoa kufuata fedha kwa Padri unajidhalilisha

Yaani ulivyo mjibu Josephine akirudi tena hapa jamvini atakuwa hajielewi kwani majibu yamejitosheleza sana
 
Ukiisoma hii taarifa, inaonyesha Pro. Baregu hajajulishwa rasmi juu kusudio la chama kujiondoa kwenye mchakato wa katiba. Wakati huo huo inaonyesha pia kwamba ni mjumbe kamati kuu.

Labda viongozi pia kwa upande wao, watuthibitishie iwapo, Prof. Baregu alitaarifiwa kuhusu kikao cha kamati kuu lakini hakuhudhuria.

Watuthibitishie pia kwamba, maamuzi yaliyotolewa na kamati kuu yalikuwa officially communicated to Prof. Baregu.

Kama haya hayakufanyika, then mzee Baregu anayohaki ya kugoma, maana maoni yake juu ya suala hili yangekipa chama namna bora ya hatua za kuchukua kutokana na madai yao.

Ushauri wangu ni kwamba, kwa vile Cdm haiwezi ku reverse maamuzi yake kwa sasa, na kwa vile Prof. Baregu amegoma kujitoa (pengine kutokana na makosa ya kiufundi ndani ya chama). Chama kama chama kiendelee na msimamo wake wa kujitoa kwenye mchakato, lakini wakati huo huo Prof. Baregu abakie kwenye tume kama mteuliwa wa Rais na si kama mwakilishi wa CDM.

Tukiendeleza haya malumbano yanaweza kukigharimu chama huko mbeleni.
 
Nadhani ungebadilisha heading sio Prof Baregu aivuruga CHADEMA ila ingeleta maana kama ingesomeka CHADEMA WAMVURUGA PROF BAREGU .

Huyu Mzee Prof Baregu anatumia muda wake na akili zake alizojaliwa na MUNGU kusaidia kupata Katiba mpya na sio hao CHADEMA wanaotaka Public sympathy ili waende Ikulu !

Narudia tena Mwaka 2015 CHADEMA wakiingia Ikulu mnichome moto nikiwa hai !

hii invitation yako ya moto 2015 itaonekana ni genuine endapo tu utajivua gamba la "the fixer" ili tuuone huo "mshikaki" uliomo ndani yake....
 
hii post ya lumumba haijadiliki, jadilini wenyewe mkachukue buku 7,

hamjiulizi je wanachodai chadema ni cha msingi??, nyinyi mawaza migogoro tu. siyo kila kunapotokea kutofautiana kimtazamo ni mgogoro,

mbona JK na LOWASA wali tofautiana wakati wa kuvua magamba, pale Lowasa alipodai JK ndo alimtuma aipe dhabuni Kampuni ya richmond,

nyie mnawaza buku 7tu, ni umaskini wa kipato na mawazo. pole ni sana

Watanzania tumelogwa???
Wanachadema, ebu hili la Prof. Baregu liacheni. Ninawashauri Prof, aendelee hadi mwisho ili baadaye atusaidie kujua kilichojiri' tukisema ajitoe, hakuna impact atajitoa na mchakato utaendelea, ebu mwacheni akae huko atatueleza hadithi yote, na hapo tutakuwa na hoja ya kuaambia watanzania
 
Unapomkabidhi mtu NYUNDO usitegemee ataenda kuliweka bila kulifanyia kazi au hawezi kulitumia kukupigia kichwani pale unapomkosea.

A LITTLE CHADEMA boy has turned out to be a MONSTER.

CHADEMA kwa sasa kinaweweseka na jinsi ya kumkabili asije akaivuluga nyumba yao.

IS THIS A MISSION IMPOSSIBLE?.

Yetu ni macho na masikio.

CHADEMA are not against constitutional review au katiba mpya kwa kiswahili though meanings in both languages reflect something different. What CDM are opposing is that the act that gives constitutional commitee the mandate to execute their functions is not followed to the letter. Moreover, having the act is one thing and proper implementation of the task ahead is something else as usual. Sheria haimkatazi mwananchi au mbunge ambaye atahisi fedha zinaliwa asihoji. Na hiki ndicho CDM through their legislators have tried to depict amidst booing by CCM MPs. Ambacho tunatakiwa tuonyeshe ni kuwa are those expenses incurred by tume worthy. Is Additional ya watu 4 from 30 stipulated by the act legal. Are they adding value to ensure a constitution of our dream? hawawezi kutumia kutumia kiasi kidogo withh better results?

Swala jingine ni hili la mabaraza ya katiba. If you read btn lines what Warrioba said ni kwamba mabaraza and whatever will be discussed by them will have little impact but the constitution will be subject to the wisdom ya tume. Sasa kama committe wisdom is the one that will prevail why waste resources to conduct selection of wajumbe wa mabaraza who eventually their contribtions will not have any influence to crafting the constitution? Warrioba acknowledges irregulaties in the process of getting those members of baraza but yet he convinces us to let it go. For what purpose?
 
Maslahi ya nchi. Kila kamishina analipwa Sh 12 kwa mwezi na posho mbalimbali.
 
Mnafikiri hatamani vile vijisenti anavyopata huko. Hapo hakuna cha maslahi ya taifa wala nini. Hapo ni pesa tu.
 
CHADEMA are not against constitutional review au katiba mpya kwa kiswahili though meanings in both languages reflect something different. What CDM are opposing is that the act that gives constitutional commitee the mandate to execute their functions is not followed to the letter. Moreover, having the act is one thing and proper implementation of the task ahead is something else as usual. Sheria haimkatazi mwananchi au mbunge ambaye atahisi fedha zinaliwa asihoji. Na hiki ndicho CDM through their legislators have tried to depict amidst booing by CCM MPs. Ambacho tunatakiwa tuonyeshe ni kuwa are those expenses incurred by tume worthy. Is Additional ya watu 4 from 30 stipulated by the act legal. Are they adding value to ensure a constitution of our dream? hawawezi kutumia kutumia kiasi kidogo withh better results?

Swala jingine ni hili la mabaraza ya katiba. If you read btn lines what Warrioba said ni kwamba mabaraza and whatever will be discussed by them will have little impact but the constitution will be subject to the wisdom ya tume. Sasa kama committe wisdom is the one that will prevail why waste resources to conduct selection of wajumbe wa mabaraza who eventually their contribtions will not have any influence to crafting the constitution? Warrioba acknowledges irregulaties in the process of getting those members of baraza but yet he convinces us to let it go. For what purpose?

Sijakuelewa mkuu una maanisha tsh 12 au tsh millioni 12?
 
Songoro kwani maprof wanatakiwa wawe na limitation of source of reference? Prof hakosei? Je prof. Hawezi kufika mahala akawa mchumia tumbo? Mm namshauri akipenda achukue ushauri asipopenda akiona Lema hafai kwa reference aache but only the matter of time
 
Hili gazeti ni sawa na Toilet Paper[/QUOTE]

Yapo mawili...kuna lingine linaitwa Tanz Daima yaani bila kuzushia serikali au chama tawala jambo hawauzi...yaani haya magazeti ya siku hizi...ptuuu..
 
Kama wote mnaojadili hii thread msingekuwa wavivu kusoma basi mngejikita kwenye hotuba ya Mbowe bungeni, hotuba ya Pinda na mwisho hotuba ya Tundu Lissu juzi.

Kila mnachojadili humu kimejibiwa. Tatizo nilionalo ni kwamba wote mnaoipenda CHADEMA na mnaoichukia ni wavivu wa kusoma na mnabaki mnajadili msichokujua kwa uvivu wa kusoma.

Chadema imetoa muda hadi Sessino hii ya bunge ikiisha kama ilivyokuwa ahadai ya Serikali. Sasa marumbano haya yote ya nini.
 
Msisahau Baregu ni Prof...Ana uwezo wa kufanya maamuzi yake mwenyewe yenye busara.

Mkuu wa nchi aliwahi kusema AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO, Baregu ni Mbayuwayu.

Mngempeleka Lema (kama Elimu ingemruhusu) msingepata shida yote hii..Yeye hata mkimwambia amtukane mkuu wa nchi

analipuka tu wala hafikirii mara mbili...
 
Babu piga chini baregu hatufahi hana huruma na wananchi laki tano zinamfanya abariki mchakato mbovu wa kuingiza wanaccm kwenye maoni ya katiba kesha jipambanua na hiyo sio sera ya cdm
 
Mama yetu Josephine hawa wahuni wachumia tumbo wasikusumbue.Wewe mtunze vema Rais wetu ajaye Dr Slaa.Kazi ya kuwajibu tutaifanya sisi.

Heheheeeee mke mwenzake josphine kaja kumsaidia joshpne alomkimbia mumewe wa ndoa kufata hela kwa padri msaliti hivi mulemo lini utakua na akili eti ooooo nimekuja kukusaidia kuwajibu shit
 
Last edited by a moderator:
Hili jambo ni dogo sana na linataka majadiliano tatizo linakuzwa sana na magazeti.
 
Neno " maslahi ya Taifa inabidi litazamwe upya". Taifa ni nani? Je CDM sio sehemu ya taifa? Je kama mchakato unibeba CCM ndo kusema ccm ndio taifa?
 
Back
Top Bottom