N-handsome
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,453
- 561
Laki 5 per day unategemea nini?
Mwita Maranya hii point yako ya neutrality is a symbol of weakness hata haina mashiko kwa siasa za Tanzania come 2015. Kwani hufahamu kama Tanzania ya 2015 itakuwa na Neutrality candidate ambao kwa lugha nyingine wataitwa Independent candidate. Sijui toka lini Independent candidate wakawa weakness.
Kitu kingine muhimu, Bible katika maandiko ya Matthew 6:1 yanasema, Be careful not to display your righteousness merely to be seen by people, otherwise you have no reward with your Father in heaven.
Kuna misukule wengi sana hapa JF kila kukicha wanapiga kelele na kudai wao ni wanaCHADEMA haswa wakati hata hawaifahamu Falsafa na Itikadi yake achilia mbali Katiba, Kanuni, Maadili na itifaki ya chama. Hawa kwangu ni kama makapi yanayosubiri kuwa RECYCLED na viongozi wa CHADEMA kwa jinsi wanavyopenda.
Maandiko yangu ndiyo VERITY AND IMPARTIALITY bila kujari kama yanaangaza upande fulani kisiasa.
Kwa hili CHADEMA wametanguliza maslahi binafsi na uchama kuliko utaifa!
Hii ni aibu kubwa,na itawapunguzia sana credit kama chama.
Go on with your views you are a candidate for a BAN for false informationUnapomkabidhi mtu NYUNDO usitegemee ataenda kuliweka bila kulifanyia kazi au hawezi kulitumia kukupigia kichwani pale unapomkosea.
A LITTLE CHADEMA boy has turned out to be a MONSTER.
CHADEMA kwa sasa kinaweweseka na jinsi ya kumkabili asije akaivuluga nyumba yao.
IS THIS A MISSION IMPOSSIBLE?.
Yetu ni macho na masikio.