Tatizo la viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani ni njaa, hilo halina ubishi kwani hizi kelele nyingi za Dr. Slaa ni kuwaonea donge wenzake, Yeye vipesa vyake vingi lakini vinahesabika
Hata yeye akipata nafasi hamtamsikia kamwe, Wapi maalim Seif, kashakuwa Makamu wa kwanza wa rais kushney! CUF imejifilia mbali.
Tatizo la viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani ni njaa, hilo halina ubishi kwani hizi kelele nyingi za Dr. Slaa ni kuwaonea donge wenzake, Yeye vipesa vyake vingi lakini vinahesabika
Hata yeye akipata nafasi hamtamsikia kamwe, Wapi maalim Seif, kashakuwa Makamu wa kwanza wa rais kushney! CUF imejifilia mbali.
Rafiki,
Dr Slaa hana njaa.
Utajiri na hazina kubwa ya Elimu ni utajiri tosha anaojivunia.
kama ni pesa,Akili yake inauwezo wa kumuingizia mamilioni.
Watanzania yawapasa kufikia sehemu mruhusu ubongo ufanye kazi.watu kama wewe ni janga Taifa.
Fisadi Rostam ameacha kupeleka mafungu ya bwerere new habari sasa ili wauze hiyo toilet paper yao inabidi waiandike Chadema.
Zaidi ya Chadema hakuna chama cha siasa kinachouza magazeti kwa sasa hapa nchini.
Bahati nzuri wananchi hawana muda wa kuzitilia manani hizi ''shits'' za mtanzania na nduguze akina jambaleo, habarileo, uhuru na mzalendo.
Profesa Baregu akiendelea na msimamo wake huo awe fired tu.Hapa suala sio kiwango cha elimu,umaarufu au chochote kile.Mtu yeyote anayebetray chama chetu chenye dhamira ya dhati ya kuwatetea Watanzania anawasaliti Watanzania pia awe fired tu.Inashangaza sana hadi Maprofesa wetu kupumbazwa kwa posho nono.Hili halikubaliki hata kidogo.Hakuna uzalendo haapo bali ni kuchanganywa na marupurupu tu.Kila mtu anajua jinsi Mchakato ulivyobakwa na MACCM
Profesa Baregu akiendelea na msimamo wake huo awe fired tu.Hapa suala sio kiwango cha elimu,umaarufu au chochote kile.Mtu yeyote anayebetray chama chetu chenye dhamira ya dhati ya kuwatetea Watanzania anawasaliti Watanzania pia awe fired tu.Inashangaza sana hadi Maprofesa wetu kupumbazwa kwa posho nono.Hili halikubaliki hata kidogo.Hakuna uzalendo haapo bali ni kuchanganywa na marupurupu tu.Kila mtu anajua jinsi Mchakato ulivyobakwa na MACCM
Rafiki,
Dr Slaa hana njaa.
Utajiri na hazina kubwa ya Elimu ni utajiri tosha anaojivunia.
kama ni pesa,Akili yake inauwezo wa kumuingizia mamilioni.
Watanzania yawapasa kufikia sehemu mruhusu ubongo ufanye kazi.watu kama wewe ni janga Taifa.
Prof. Baregu tafuta hotuba ya Mh. G Lema aliyosema namnukuu 'ukiona CCM wameanza kukusifu inabidi ushtuke huenda kuna mahala umekuwa Boya' So mzee Baregu nakuamini sana naomba uendelee kutunza imani yangu kwako
nadhani ungebadilisha heading sio prof baregu aivuruga chadema ila ingeleta maana kama ingesomeka chadema wamvuruga prof baregu .
Huyu mzee prof baregu anatumia muda wake na akili zake alizojaliwa na mungu kusaidia kupata katiba mpya na sio hao chadema wanaotaka public sympathy ili waende ikulu !
Narudia tena mwaka 2015 chadema wakiingia ikulu mnichome moto nikiwa hai !
Mama yetu Josephine hawa wahuni wachumia tumbo wasikusumbue.Wewe mtunze vema Rais wetu ajaye Dr Slaa.Kazi ya kuwajibu tutaifanya sisi.
Sasa profesa anamwakilisha nani.?
Au atakua mjumbe wa mahakama.
Nadhani ungebadilisha heading sio Prof Baregu aivuruga CHADEMA ila ingeleta maana kama ingesomeka CHADEMA WAMVURUGA PROF BAREGU .
Huyu Mzee Prof Baregu anatumia muda wake na akili zake alizojaliwa na MUNGU kusaidia kupata Katiba mpya na sio hao CHADEMA wanaotaka Public sympathy ili waende Ikulu !
Narudia tena Mwaka 2015 CHADEMA wakiingia Ikulu mnichome moto nikiwa hai !