Bashir Yakub
Member
- May 27, 2013
- 97
- 1,751
PROF. ASSAD HII HADITH YA MTUME (SAW) UNAIJUA ?.
Na Bashir Yakub.
Mtu mmoja alimuuliza Mtume swallah llahu 'alayhi wasallah
“Ipi ni jihad(harakati) bora?” Mtume Akasema:
“Maneno ya haki mbele ya Mtawala muovu”
Kwa maneno mengi ya Assad ni wazi kwake kwamba Magufuli alikuwa mtawala muovu.
Assad haya maneno unayoita ya haki unayobwabwaja kila sehem mda huu uliwah kuyatoa mbele ya mtawala muovu.
Wakati akiwa hai na we si ulikuwa hai, ulishindwa nini kuyatamka mbele yake ili ukawa katika wale waumini wa kweli aliowasema Mtume katika hii Hadith ambao husema kweli.
Unakula nyama ya mfu kwa confidence, unajitutumua leo hayupo halafu unajifanya muumini.
Ina maana ulimuogopa kuliko unavyoogopa haya maneno ya Mtume Mtukufu . Iko wapi imani yako.
Unasubiri kufanya harakati juu ya mwili wa mfu.
Umeingia katika wanafiki wakubwa, watu waoga, na kada ya wasomi wasiojiamini.
Kama hukumwambia yeye hakuna haja ya kutwambia sisi. Unatwambia tumwajibishe nani sasa, kaburi lake ama familia yake.
Umbweha ni tabia ovu sana.
Na Bashir Yakub.
Mtu mmoja alimuuliza Mtume swallah llahu 'alayhi wasallah
“Ipi ni jihad(harakati) bora?” Mtume Akasema:
“Maneno ya haki mbele ya Mtawala muovu”
Kwa maneno mengi ya Assad ni wazi kwake kwamba Magufuli alikuwa mtawala muovu.
Assad haya maneno unayoita ya haki unayobwabwaja kila sehem mda huu uliwah kuyatoa mbele ya mtawala muovu.
Wakati akiwa hai na we si ulikuwa hai, ulishindwa nini kuyatamka mbele yake ili ukawa katika wale waumini wa kweli aliowasema Mtume katika hii Hadith ambao husema kweli.
Unakula nyama ya mfu kwa confidence, unajitutumua leo hayupo halafu unajifanya muumini.
Ina maana ulimuogopa kuliko unavyoogopa haya maneno ya Mtume Mtukufu . Iko wapi imani yako.
Unasubiri kufanya harakati juu ya mwili wa mfu.
Umeingia katika wanafiki wakubwa, watu waoga, na kada ya wasomi wasiojiamini.
Kama hukumwambia yeye hakuna haja ya kutwambia sisi. Unatwambia tumwajibishe nani sasa, kaburi lake ama familia yake.
Umbweha ni tabia ovu sana.