instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 11,383
- 14,193
Mkuu ndugai ana loji kule, kilimo kwa mfano na vituo kadhaa vya mafuta ya taa. Umeme wa rea pia umepita kule kijijini. Oo kuna shamba la miti pia.
Mkuu ndugai ana loji kule, kilimo kwa mfano na vituo kadhaa vya mafuta ya taa. Umeme wa rea pia umepita kule kijijini. Oo kuna shamba la miti pia.
Mwigulu? Kama siyo Nchemba ni mtu mwingine nitakuelewaHONGERA SANA KWA MAMA YETU PROFESA ANNA TIBAIJUKA KWA KUTANGAZA KUSTAAFU UBUNGE BAADA YA KUONA UMRI UMESOGEA
HIVYO BASI WATU KAMA AKINA MWIGULU NCHEMBA, NDUGAI, MWAKIEMBE MJIUZULU KUGOMBEA UBUNGE MAANA UMRI WENU UMEENDAA MTUACHIE VIJANA
Bila shaka taarifa sahii hamna?Kamwanamke kenyewe Nanak on is him danisha na yeye aliye juu sasa!?! Kameona uwaziri hamna, marushwa yamededi,masafari ya nje hola ni usumbufu wakwenda Dom kibibi chawatu ndo kinakumbuka vijana. Ameacha nini cha muhimu kwa watuwake? zaidi ya maneno yahovyo mpaka kutumbuliwa na kikwete,wizara aliyoongoza hamna chakumpongeza anastaafu kama prof uchwara no legacy.
Utakuwa na chuki naye sio bure.Kamwanamke kenyewe Nanak on is him danisha na yeye aliye juu sasa!?! Kameona uwaziri hamna, marushwa yamededi,masafari ya nje hola ni usumbufu wakwenda Dom kibibi chawatu ndo kinakumbuka vijana. Ameacha nini cha muhimu kwa watuwake? zaidi ya maneno yahovyo mpaka kutumbuliwa na kikwete,wizara aliyoongoza hamna chakumpongeza anastaafu kama prof uchwara no legacy.
The very noble question!!!!Ameshaongea na Mungu kwamba hiyo 2020 angekuwa hai?
Eti labda Mungu,watu wanajisahau sana haya,ila Mungu hadhihakiwi
maweeee kaziro!Aende tu mama wa mamilioni ya mboga
Ukipanua.....wanatamani.....unavyozidi kupanua wanazidi kutamani
Kasema 'labda' ...unaelewa maana ya hili neno?Kwani hapo amemdhihaki Mungu au amemtukuza?amesema hakuna zaidi ya Mungu,ndio maana yake.
Amejenga kwa hela zake?Utakuwa na chuki naye sio bure.
Huwezi ukamlinganisha na wew huyo mtu.
Heshima yake itabaki pale pale alikuwa mwanamke wa Kwanza kuwa UN vice secretary.kama hutaki jinyonge.
Lakini walau muleba amefanya kitu amajenga Barabara,masoko na mashule kibao kuliko wabunge wengine wengi ambao hawafanyi lolote
Hatimaye Masilingi atapata Jimbo tena
[/QUOTE
Balozi ana uzoefu nadhani atawamwagaKuna dozen ya wawaniaji jimbo hilo (i). Lecturer Iringa, (ii). DC fulani, (iii). Mchumi fulani, (iv). Afisa Mazingira, (v). Mkuu wa shule, na (vi). Katibu wa CCM mpyaa wilaya moja hivi.