Prof. Anna Tibaijuka atangaza kutogombea tena Ubunge, asema hakuna wa kumshinda zaidi ya Mungu

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Mwanasiasa Mkongwe na Mbunge wa Jimbo la Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka ametangaza kutogombea tena Ubunge wa Jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa 2020

Akitangaza nia hiyo Prof. Tibaijuka amesema "2020 nang’atuka Ubunge, sisi ni kizazi cha Mwalimu, sistaafu kwamba kuna Mtu wa kunishinda, wa kunishinda mimi labda Mungu”

Hii ni mara ya pili kwa Prof. Anna Tibaijuka kutangaza nia hiyo, aliwahi kueleza nia yake ya kung'atuka katika siasa mwaka 2017

Alisema kuwa ataendelea kuwepo kwenye jamii lakini ni wakati wa kuwapa nafasi vijana na maarifa yao yataendelea kutumika kwenye ushauri katika kusonga mbele
 
Mwanasiasa Mkongwe na Mbunge wa Jimbo la Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka ametangaza kutogombea tena Ubunge wa Jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa 2020

Akitangaza nia hiyo Prof. Tibaijuka amesema "2020 nang’atuka Ubunge, sisi ni kizazi cha Mwalimu, sistaafu kwamba kuna Mtu wa kunishinda, wa kunishinda mimi labda Mungu”

Hii ni mara ya pili kwa Prof. Anna Tibaijuka kutangaza nia hiyo, aliwahi kueleza nia yake ya kung'atuka katika siasa mwaka 2017

Alisema kuwa ataendelea kuwepo kwenye jamii lakini ni wakati wa kuwapa nafasi vijana na maarifa yao yataendelea kutumika kwenye ushauri katika kusonga mbele
Ameshaongea na Mungu kwamba hiyo 2020 angekuwa hai?
 
Mwanasiasa Mkongwe na Mbunge wa Jimbo la Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka ametangaza kutogombea tena Ubunge wa Jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa 2020

Akitangaza nia hiyo Prof. Tibaijuka amesema "2020 nang’atuka Ubunge, sisi ni kizazi cha Mwalimu, sistaafu kwamba kuna Mtu wa kunishinda, wa kunishinda mimi labda Mungu”

Hii ni mara ya pili kwa Prof. Anna Tibaijuka kutangaza nia hiyo, aliwahi kueleza nia yake ya kung'atuka katika siasa mwaka 2017

Alisema kuwa ataendelea kuwepo kwenye jamii lakini ni wakati wa kuwapa nafasi vijana na maarifa yao yataendelea kutumika kwenye ushauri katika kusonga mbele
HONGERA SANA KWA MAMA YETU PROFESA ANNA TIBAIJUKA KWA KUTANGAZA KUSTAAFU UBUNGE BAADA YA KUONA UMRI UMESOGEA

HIVYO BASI WATU KAMA AKINA MWIGULU NCHEMBA, NDUGAI, MWAKIEMBE MJIUZULU KUGOMBEA UBUNGE MAANA UMRI WENU UMEENDAA MTUACHIE VIJANA
 
Yaani Mungu alinganishwe/ashindanishwe na Tibaijuka alafu LABDA Mungu anaweza shinda o_O
Dalili za kushiba hizo
 
Hayo maneno ya sijui hakuna nini wala nini.. labda kashauriwa na naninii wake atoke tu kwasababu atashindwa kwa kishindo kwamba.. hata za maoni anajua hatapita. Bora angesema maneno ya kupumzika hayo ya kuachia vijana bila mbwembwe..
 
Mwanasiasa Mkongwe na Mbunge wa Jimbo la Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka ametangaza kutogombea tena Ubunge wa Jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa 2020

Akitangaza nia hiyo Prof. Tibaijuka amesema "2020 nang’atuka Ubunge, sisi ni kizazi cha Mwalimu, sistaafu kwamba kuna Mtu wa kunishinda, wa kunishinda mimi labda Mungu”

Hii ni mara ya pili kwa Prof. Anna Tibaijuka kutangaza nia hiyo, aliwahi kueleza nia yake ya kung'atuka katika siasa mwaka 2017

Alisema kuwa ataendelea kuwepo kwenye jamii lakini ni wakati wa kuwapa nafasi vijana na maarifa yao yataendelea kutumika kwenye ushauri katika kusonga mbele
kwa ile ganji ya uncle Ruge... aisee mbona mimi ningekuwa nshastaafu longi!
 
Inawezekekana yuko sahihi kwamba yeye kaumbwa na Mungu akiwa bora kuliko mtu yeyote ispokuwa Mungu tuu, kwa maana nyingine hata shetani kwake kasanda basi anaweza kuwa hata malaika hawamuwezi. Istoshe huyo ni mhaya hata hivyo hajajisifu vya kutosha!
Mwanasiasa Mkongwe na Mbunge wa Jimbo la Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka ametangaza kutogombea tena Ubunge wa Jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa 2020

Akitangaza nia hiyo Prof. Tibaijuka amesema "2020 nang’atuka Ubunge, sisi ni kizazi cha Mwalimu, sistaafu kwamba kuna Mtu wa kunishinda, wa kunishinda mimi labda Mungu”

Hii ni mara ya pili kwa Prof. Anna Tibaijuka kutangaza nia hiyo, aliwahi kueleza nia yake ya kung'atuka katika siasa mwaka 2017

Alisema kuwa ataendelea kuwepo kwenye jamii lakini ni wakati wa kuwapa nafasi vijana na maarifa yao yataendelea kutumika kwenye ushauri katika kusonga mbele
a
 
Kama kuna mtu aliye karibu na mama yetu basi amshauri kutubu kwa dhihaka hiyo kwa Mungu vingenevyo tuanze kuundaa mapema ule ujumbe wetu mashuhuri; R**
 
Back
Top Bottom