Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Mwanasiasa Mkongwe na Mbunge wa Jimbo la Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka ametangaza kutogombea tena Ubunge wa Jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa 2020
Akitangaza nia hiyo Prof. Tibaijuka amesema "2020 nang’atuka Ubunge, sisi ni kizazi cha Mwalimu, sistaafu kwamba kuna Mtu wa kunishinda, wa kunishinda mimi labda Mungu”
Hii ni mara ya pili kwa Prof. Anna Tibaijuka kutangaza nia hiyo, aliwahi kueleza nia yake ya kung'atuka katika siasa mwaka 2017
Alisema kuwa ataendelea kuwepo kwenye jamii lakini ni wakati wa kuwapa nafasi vijana na maarifa yao yataendelea kutumika kwenye ushauri katika kusonga mbele
Akitangaza nia hiyo Prof. Tibaijuka amesema "2020 nang’atuka Ubunge, sisi ni kizazi cha Mwalimu, sistaafu kwamba kuna Mtu wa kunishinda, wa kunishinda mimi labda Mungu”
Hii ni mara ya pili kwa Prof. Anna Tibaijuka kutangaza nia hiyo, aliwahi kueleza nia yake ya kung'atuka katika siasa mwaka 2017
Alisema kuwa ataendelea kuwepo kwenye jamii lakini ni wakati wa kuwapa nafasi vijana na maarifa yao yataendelea kutumika kwenye ushauri katika kusonga mbele