Kwani mkuu ya Uncle Ruge ilikuwaje kwa mamakwa ile ganji ya uncle Ruge... aisee mbona mimi ningekuwa nshastaafu longi!
Kwani mkuu ya Uncle Ruge ilikuwaje kwa mamakwa ile ganji ya uncle Ruge... aisee mbona mimi ningekuwa nshastaafu longi!
Wamejisahu kuwa kila kitu ni wao ee, tetemeko la ardhi wao,naniino waliambiwa wao,ile ingine nayo waliambiwa ni wao, njaa wazee wa watu nayo wao, sasa huyu mama anataka washushiwe tena lingine tena,waambie na...........hata hilo lao. Mkumbukeni majibu ya jamaa kwenye ule mkutano ule kuwa Tanzania...................Wahaya wameanza utani na Mungu.
unasemaje wewe?Aende tu mama wa mamilioni ya mboga
Ukipanua.....wanatamani.....unavyozidi kupanua wanazidi kutamani
Kwani umechukia nini,au kwa vile mama hajarudisha vile vichenji vya mboga anataka kuondoka navyo.unasemaje wewe? View attachment 1145595
hilo neno kupanuaKwani umechukia nini,au kwa vile mama hajarudisha vile vichenji vya mboga anataka kuondoka navyo.
Apache kujifananisha na Mungu aishie Sir kwetu wanadamu
Yaani Mungu alinganishwe/ashindanishwe na Tibaijuka alafu LABDA Mungu anaweza shinda
Dalili za kushiba hizo
Ukisikia siasa ndo hizo wakuuEti labda Mungu,watu wanajisahau sana haya,ila Mungu hadhihakiwi
Sorry!unamjua Tibaijuka?!unapajua muleba?!!! Nimeuliza tu.Hayo maneno ya sijui hakuna nini wala nini.. labda kashauriwa na naninii wake atoke tu kwasababu atashindwa kwa kishindo kwamba.. hata za maoni anajua hatapita. Bora angesema maneno ya kupumzika hayo ya kuachia vijana bila mbwembwe..
Ata kwenye Elimu mama Anna amejitahidi sanaBora ametoka.
Ila walau amefanya kitu kwenye hiyo wilaya ya muleba hasa upanuzi wa Barabara ya muleba mjini, pamoja na ujenzi wa Barabara ya rubya.soko la ndizi, nk
Sio wengine wakina ndugai hawafanyi lolote kule Dodoma.
Yap amejitahidi kupakumbuka kwao.Ata kwenye Elimu mama Anna amejitahidi sana
Ndo ccm walivyo huwa hawafi.Ameshaongea na Mungu kwamba hiyo 2020 angekuwa hai?
1.5BKwani mkuu ya Uncle Ruge ilikuwaje kwa mama
Sorry!unamjua Tibaijuka?!unapajua muleba?!!! Nimeuliza tu.
HONGERA SANA KWA MAMA YETU PROFESA ANNA TIBAIJUKA KWA KUTANGAZA KUSTAAFU UBUNGE BAADA YA KUONA UMRI UMESOGEA
HIVYO BASI WATU KAMA AKINA MWIGULU NCHEMBA, NDUGAI, MWAKIEMBE MJIUZULU KUGOMBEA UBUNGE MAANA UMRI WENU UMEENDAA MTUACHIE VIJANA
" Labda" Mungu ndio anaweza kumshinda?!!......Hii ni kufuru!Mwanasiasa Mkongwe na Mbunge wa Jimbo la Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka ametangaza kutogombea tena Ubunge wa Jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa 2020
Akitangaza nia hiyo Prof. Tibaijuka amesema "2020 nang’atuka Ubunge, sisi ni kizazi cha Mwalimu, sistaafu kwamba kuna Mtu wa kunishinda, wa kunishinda mimi labda Mungu”
Hii ni mara ya pili kwa Prof. Anna Tibaijuka kutangaza nia hiyo, aliwahi kueleza nia yake ya kung'atuka katika siasa mwaka 2017
Alisema kuwa ataendelea kuwepo kwenye jamii lakini ni wakati wa kuwapa nafasi vijana na maarifa yao yataendelea kutumika kwenye ushauri katika kusonga mbele
We utakuwa unapungukiwa akili au hazimo kabisa, ni lini wahaya walilia njaa??Wamejisahu kuwa kila kitu ni wao ee, tetemeko la ardhi wao,naniino waliambiwa wao,ile ingine nayo waliambiwa ni wao, njaa wazee wa watu nayo wao, sasa huyu mama anataka washushiwe tena lingine tena,waambie na...........hata hilo lao. Mkumbukeni majibu ya jamaa kwenye ule mkutano ule kuwa Tanzania...................
Mkuu ndugai ana loji kule, kilimo kwa mfano na vituo kadhaa vya mafuta ya taa. Umeme wa rea pia umepita kule kijijini. Oo kuna shamba la miti pia.Bora ametoka.
Ila walau amefanya kitu kwenye hiyo wilaya ya muleba hasa upanuzi wa Barabara ya muleba mjini, pamoja na ujenzi wa Barabara ya rubya.soko la ndizi, nk
Sio wengine wakina ndugai hawafanyi lolote kule Dodoma.