mwagavumbi 11
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,254
- 44
Habari zenu wanajamvi,
Habari za saum kwa mliofunga,
Kiufupi nimefatilia kwa ukaribu sn jinsi Prof. Tibaijuka anavyofanya kazi ngumu katika wizara mama tena km figo katika wizara zote, nimejiridhisha kuwa Prof. Tibaijuka ni mchapa kazi, mkweli, anependa watu, asiye na hiyana na mtu na mpenda maendeleo kwa nchi yetu Tanzania.
Jamani tumuombeeni mwenyezimungu amuinue zaidi na ikiwezekana kuiongoza nchi hii iliyojaa mafisadi, wenye uchu wa madaraka na wasema mazuri mbele ya macho ya watu ila mioyo yao imejaa ubinafsi, rushwa na fitina na kuigeuza TZ km shamba la bibi.
Nawasilisha
Habari za saum kwa mliofunga,
Kiufupi nimefatilia kwa ukaribu sn jinsi Prof. Tibaijuka anavyofanya kazi ngumu katika wizara mama tena km figo katika wizara zote, nimejiridhisha kuwa Prof. Tibaijuka ni mchapa kazi, mkweli, anependa watu, asiye na hiyana na mtu na mpenda maendeleo kwa nchi yetu Tanzania.
Jamani tumuombeeni mwenyezimungu amuinue zaidi na ikiwezekana kuiongoza nchi hii iliyojaa mafisadi, wenye uchu wa madaraka na wasema mazuri mbele ya macho ya watu ila mioyo yao imejaa ubinafsi, rushwa na fitina na kuigeuza TZ km shamba la bibi.
Nawasilisha
PROF. ANNA TIBAIJUKA AKIWA NA SIMBA WA AFRIKA KIONGOZI MH.NELSON MANDELA. AMA KWELI PROF.TIBA ANAPAA
KONGAMANO KABAMBE LILILOFANYIKA KATIKA SEHEMU YA SOCIAL SCIENCE HALL UDOM LIKIONGOZWA NA KIONGOZI WAO FEISAL MOLLEL NDOSSY, WAMEMLILIA KIONGOZI MSOMI 2015 AJITOKEZE KATIKA KUWANIA URAIS NA WAPO TAYARI KUMPIGANIA MWANZO MWISHO WAKIMTAJA HASWA PROF.TIBAIJUKA ANNA KUWA NI WAKIPEKEE ZAID KATIKA SAFU NZIMA.
KIONGOZI HUYO ALIENDELEA KWA KUSEMA, "PROF. ANNA KAJUMULO TIBAIJUKA NI KIONGOZI WA KUIGWA KWANI AMEKUA BIZE AKITEKELEZA ILANI YA CCM 2010 - 2015 TOFAUTI NA WENZAKE ANAVONG`ANG`ANIA UTAWALA NA SIO UONGOZI KM VILE WAO NI MIUNGU WATU.
ALISEMA, PROF.TIBAIJUKA NI MSOMI, MWALIMU, ANAEPENDA MAENDELEO NA KATIKA KERO AMBAZO ZINAMGUSA SN HAPA NCHINI NI PAMOJA NA;-
1. AJIRA, 2. UMASKINI, 3. AFYA, 4.ELIMU, 5.MASLAH BORA KWA WATUMISHI WA UMMA, 6.KILIMO, 7.MICHEZO, 8.MACHINGA, MAMA NTILIE (KAMA SEEM YA BIASHARA NDONGONDOGO), 9.MASOKO BORA KUTOKA NCHI ZA NJE NA 10.KUSHUSHA MFUMUKO WA BEI NCHINI NA KODI STAHIKI NA NDOGO KWA WAFANYABIASHARA.
AKIONGEA NA WANAVYUO HAO WAPATAO ELFU 6, KIONGOZI HUYO AMBAE KWA JINA ANAITWA FEISAL MOLLEL NDOSSY ALISEMA, NCHI HII INAMATATIZO MENGI JAPO MH.RAIS DR.JAKAYA MRISHO KIKWETE KAJITAHIDI KUYAPUNGUZA MNO IKIWEMO SUALA ZIMA LA BARABARA.
ALISEMA, PROF. TIBAIJUKA NI MWANAMKE WA KWANZA AFRIKA KUCHAGULIWA NA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA NA KULIONGOZA MOJA YA TAASISI ZAKE DUNIANI(UN HABITAT)
ALISEMA, ALIGUSWA SN NA PROF.TIBAIJUKA PALE ALIPOMSIKIA AKISEMA "KUZALIWA MASKINI SIO TATIZO ILA KUFA MASKINI NDIYO TATIZO NA UTAULIZWA NA MUNGU" AKIMAANISHA LAZMA AJITAHIDI KM KIONGOZI KUHAKIKISHA WATANZANIA WANAONDOKANA NA UMASIKINI KWA KUWAWEKEA MIKAKATI KABAMBE YA KIUCHUMI AKIWA KM MCHUMI HODARI.
AMA KWELI PROF. ANAWAFUASI WENGI MNO MANA HAWA VIJANA WASOMI WA VYUO VIKUU ELF6 WANAFAMILIA ZAO NA NDUGU JAMAA NA MARAFIKI. PIA NDIO WATUMIAJI WAKUU WA MITANDAO YA KIJAMII. KWAIYO WATAKUA WAMEFIKIA WATANZANIA WENGI SN TANZANIA NA DUNIANI KWA UJUMLA WAKE.
DUH. ILIKUA KM BOMBAY KWA UMMAT WA WATU HAO ILA KILICHONISTAAJABISHA MH. PROF ANNA TIBAIJUKA HAKUWEPO WALA NINI.
NAWASILISHA NDG.ZANGU