Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 7,620
- 16,365
Sidhani kama kuna cctv pale, nimeangalia mahojiano yao...ki ukweli mazingira ya pale ni duni sana. Sikutegemea kwa ukubwa wa jina la s2kizzy studio yake ingekuwa maeneo duni vile. Kuna kitu kinatakiwa kufanyika kwenye sanaa, wasanii wana majina makubwa lakini maisha yao ni choka mbaya. Inasikitisha.Inamaana hakua na cctv kwenye studio yake??