Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Hallow wandugu,
Mimi ni miongoni mwa wale ambao ni mbumbumbu ya sheria, je nikitaka kumshitaki mtu/kikundi/kampunu nk natakiwa nifanyeje, is it just a matter of going mahakamani na kutoa maelezo kwa ninaekusudia kumshtaki or what, naomba msaada wenu
Mimi ni miongoni mwa wale ambao ni mbumbumbu ya sheria, je nikitaka kumshitaki mtu/kikundi/kampunu nk natakiwa nifanyeje, is it just a matter of going mahakamani na kutoa maelezo kwa ninaekusudia kumshtaki or what, naomba msaada wenu