Problem with Nokia E63, 4GB Memory Card..

Papizo

JF-Expert Member
Feb 24, 2008
4,944
1,429
Naombeni ushauri au kama kuna msaada maana kuna simu yangu ninayo ila inanizingua kidogo...Nimenunua Memory card aina ya MICRO SDHC lakini tatizo linanijia inakubali kusoma data kwenye simu na nikiweka nikienda sehemu ya memory card inaonyesha CAPACITY NI 3774MB and USED 82MB and FREE 3691MB so nikijaribu kuweka mp3 zangu kwa njia ya bluethooth kutoka simu yangu nyingine hii nokia inasema kwamba NOT ENOUGH MEMORY TO PERFORM OPERATION...So bado sijajua mpaka sasa nimejaribu kucheck online for solution but sijapata kabisa...Kuna wataalam humu ndani naombeni msaada wenu please nini nifanye???
 
Naombeni ushauri au kama kuna msaada maana kuna simu yangu ninayo ila inanizingua kidogo...Nimenunua Memory card aina ya MICRO SDHC lakini tatizo linanijia inakubali kusoma data kwenye simu na nikiweka nikienda sehemu ya memory card inaonyesha CAPACITY NI 3774MB and USED 82MB and FREE 3691MB so nikijaribu kuweka mp3 zangu kwa njia ya bluethooth kutoka simu yangu nyingine hii nokia inasema kwamba NOT ENOUGH MEMORY TO PERFORM OPERATION...So bado sijajua mpaka sasa nimejaribu kucheck online for solution but sijapata kabisa...Kuna wataalam humu ndani naombeni msaada wenu please nini nifanye???
kifupi memory card ya kichina.tupa kanunue nyingine original kisha nayo ikikuzingua uje na swali.
 
kifupi memory card ya kichina.tupa kanunue nyingine original kisha nayo ikikuzingua uje na swali.

Mkuu more information please maana bado sijakuelewa hapo...What do u mean kwamba Memory card ya kichina u mean kwamba hamna memory card aina ya MICRO SDHC au una maanisha nini??Utajuaje original na fake???Siamini kama hii memory card inaweza kuwa ya kichina!!
 
Hili lipo na nimeshawahi kutumia memory ya 4GB na 8GB zilinigomea zote kwenye cm.ya nokia E61i na siyo moja nimejaribu mbalimbali zimegoma inakubali mwisho 2GB nadhani pia kuna limit ya memory kulingana na aina ya cm.
 
Unapotuma file (picha, muziki, app etc.) kupitia BT, kulingana na aina ya simu linapokelewa kama MESSAGE. Sasa kulingana na namna ulivyo set simu yako isevu wapi meseji zinazoingia, either ita-save kwenye phone memory au memory card.

Kulingana na maelezo yako simu yako ipokea meseji kwenye phone memory, ambayo nina kila sababu ya kuamini kuwa ni ndogo. (actually simu nyingi zinafanya hivyo--kupokea sms kwenye phone memory).

Nenda kwenye Messaging settings na uone kama kuna option ya kubadili save folder la messages. Endapo hakuna basi utahitajika kutumia PC ku-transfer files.
 
sio mchina.you should tell it where you want the storage to be maybe its defaulting is storage in internal memory halafu internal haitoshi.
 
Hili lipo na nimeshawahi kutumia memory ya 4GB na 8GB zilinigomea zote kwenye cm.ya nokia E61i na siyo moja nimejaribu mbalimbali zimegoma inakubali mwisho 2GB nadhani pia kuna limit ya memory kulingana na aina ya cm.

Asante sana ndugu yangu kwa msaada wako na maelezo yako.......Na mimi nilikuwa na wasiwasi huu kwamba inaweza kuwa hii simu ina limit ya memory card so nitajaribu pia kucheck kwa umakini zaidi nione kama tatizo ni Memory limit...Thanks again mkuu!!
 
Unapotuma file (picha, muziki, app etc.) kupitia BT, kulingana na aina ya simu linapokelewa kama MESSAGE. Sasa kulingana na namna ulivyo set simu yako isevu wapi meseji zinazoingia, either ita-save kwenye phone memory au memory card.

Kulingana na maelezo yako simu yako ipokea meseji kwenye phone memory, ambayo nina kila sababu ya kuamini kuwa ni ndogo. (actually simu nyingi zinafanya hivyo--kupokea sms kwenye phone memory).

Nenda kwenye Messaging settings na uone kama kuna option ya kubadili save folder la messages. Endapo hakuna basi utahitajika kutumia PC ku-transfer files.


Daa kwa kweli kuuliza sio ujinga kabisa...Mkuu your the best man...Actual nilikuwa nimepanga monday nirudishe hii memory card wanipe full refund lakini nimecheck kwanza kama ulivyosema kama hii simu inapokea mafile via messeg yes that true then kwenda kwenye messeg setting nikakuta kwamba mafile yote yanaingia kwenye Phone memory ambayo ipo file....So nikacheck memory card yangu pale nikachange kutoka phone memory to memory card kujaribu kuingiza tena mafile naona kila kitu kipo makini kabisa hamna tena problem.......Asante sana mkuu maana nilikuwa sina wazo kama hilo ni tatizo..........Thanks again so kama tatizo ni hili then naweza kutumia hata 8GB bila tatizo.....Thanks again!!
 
sio mchina.you should tell it where you want the storage to be maybe its defaulting is storage in internal memory halafu internal haitoshi.

Yeah that true mkuu nimefanya na kila kitu kipo powa kabisa sasa hivi!!!
 
Hili lipo na nimeshawahi kutumia memory ya 4GB na 8GB zilinigomea zote kwenye cm.ya nokia E61i na siyo moja nimejaribu mbalimbali zimegoma inakubali mwisho 2GB nadhani pia kuna limit ya memory kulingana na aina ya cm.

Mkuu nadhani ushauri wa wakuu hapo juu umenisaidia sana maana nilikuwa nimepanga kuchange ila baada ya kufatilia walivyoniambia kila kitu kinafanya kazi vizuri sasa hivi!!
 
hongera mkuu kwa majibu yenye mafanikio nikipongeza wote walo kupa majb mazuri walokuboa ucjali ndokawaida ya jamvini ila madamu umeshapata msaada niseme ucsite tena kulza
 
hongera mkuu kwa majibu yenye mafanikio nikipongeza wote walo kupa majb mazuri walokuboa ucjali ndokawaida ya jamvini ila madamu umeshapata msaada niseme ucsite tena kulza

Asante pia hata wewe mkuu kwa kupitia na kucheck wapi tumefikia thanx again.......Hamna noma mkuu nikipata problem yoyote nitazama hapa na kuuliza bila shaka kabisa...............Tupo pamoja!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom