Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,117
- 4,781
Unaleta tangazo la 27Billions kwa hawa losers wa jf watakuchezea tu
Wanakuja sana mkuu. Tunashindwana bei tuHivi ni kweli watu wanakuja PM mleta mada ama?
Kuna nwana JF aliyetoa kishika uchumbaVipi bado tu haijapata mteja
Haina tatizo mkuu. Kama wewe ni rubani mzuri utaitest kwanzaVp ni used au mpya! Pia kwanini unauza,maana hiyo bei ipo cheap sana nahofia isije ikawa ina tatizo ndio maana unauza!!
Baadhi wameonesha nia ya kununua tayarUnaleta tangazo la 27Billions kwa hawa losers wa jf watakuchezea tu
Kweli. Ngoja nitafute SCANIA ya kuivuta. Ikibid nitapekeka saba sabaUngetafuta eneo la wazi pale Dar uiweke, huku JF sidhani kama Dr Shika anapita.
Yawezekana Mkuu maana kuna watu humu wameshadadia saana kununua hii ndege, mara oooh ipo wapi nije na mwanasheria wangu, mara oooh Nimekupm, mara chukua Bil 25 n.kDon't take everything seriously mkuu, watu wanapunguza stress tu.
Hapo sasa ndio utapata Wanunuaji wakiongozwa na Bilionea Dr Shika.Kweli. Ngoja nitafute SCANIA ya kuivuta. Ikibid nitapekeka saba saba
Good luckBaadhi wameonesha nia ya kununua tayar
Kabisa, Niliona hio kiu whatsapp, Leo naona mtu anaitangaza leo JF. MweehHujaonyesha hiyo jet ni aina gani, series gani, ya mwaka gani.
Only Dunderheads could believe this piece of shit!!
Gamboshi.tripu ya kwanza ndani ya jet yetu tutaenda wapi ?
uwanja upo au tutatua juu ya bati ??Gamboshi.
Una undugu na doctor900 itapendeza...
Hata juu ya bati safi tu.uwanja upo au tutatua juu ya bati ??
Ingekua na Side mirror ningeichukua,Maximum Range - 3,419 nm
Maximum Cruise Speed - 419 ktas
Maximum Passengers - 12
Useful Load - 14,419 lb
Takeoff Field Length - 4,198 ft
PM me for more info
27billions.
View attachment 795636View attachment 795638