thax nn am serias brother
pole bebii naamini utapata watu waliopo serious kukutoa hapo ulipo.
jamani niko serias natafuta private consultant ambae anaweza kunishauri. nataka nianze maisha yangu upyaa.nina mambo mengi kichwani nahisi kichwa kinataka kuburst. Aweze kunishauri katika nyanja zote za maisha kiuchumi,kijamii everything.niko tayari kumlipa ila awe na bei affordable.kama haupo sirias pleas usinisumbue maana utaniongezea matatizo
Jamani niko serias natafuta private consultant ambae anaweza kunishauri. Nataka nianze maisha yangu upyaa.nina mambo mengi kichwani nahisi kichwa kinataka kuburst. Aweze kunishauri katika nyanja zote za maisha kiuchumi,kijamii everything.niko tayari kumlipa ila awe na bei affordable.kama haupo sirias pleas usinisumbue maana utaniongezea matatizo
yaani personal sio nimiliki kama mtu unavokuwa na daktari wako home rocky nina matatizo siriaz ahhhhhhh