Boflo JF-Expert Member Jan 20, 2010 4,384 4,409 Aug 15, 2012 #1 Boflooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Zogwale JF-Expert Member Jul 10, 2008 15,287 10,842 Aug 15, 2012 #2 Boflo said: View attachment 61927 Boflooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo Click to expand... Wewe boflo!!! Yaani paka na mbwa tena!! Au macho yangu kengeza?
Boflo said: View attachment 61927 Boflooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo Click to expand... Wewe boflo!!! Yaani paka na mbwa tena!! Au macho yangu kengeza?
princess enny JF-Expert Member May 27, 2012 1,038 379 Aug 15, 2012 #3 heeeeeeeeeeeeee!!!!!! Boflo hii sasa ni revolution!!! mbwa na paka!! au macho yangu yamepata matege!!!!!??? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
heeeeeeeeeeeeee!!!!!! Boflo hii sasa ni revolution!!! mbwa na paka!! au macho yangu yamepata matege!!!!!???
princess enny JF-Expert Member May 27, 2012 1,038 379 Aug 15, 2012 #4 kweli utoto unawasumbua!!!! ni watoto tu hao!! wakikua wataacha!!
Globu JF-Expert Member Jan 12, 2011 8,569 2,068 Aug 15, 2012 #5 Boflo bana. Haya kwa chai inakwenda, kwa supu we acha tu. Kwa Blue Band usiseme. Kwa halua mama yangu.............
Boflo bana. Haya kwa chai inakwenda, kwa supu we acha tu. Kwa Blue Band usiseme. Kwa halua mama yangu.............
Boflo JF-Expert Member Jan 20, 2010 4,384 4,409 Aug 15, 2012 Thread starter #6 Globu said: Boflo bana. Haya kwa chai inakwenda, kwa supu we acha tu. Kwa Blue Band usiseme. Kwa halua mama yangu............. Click to expand... halua unaijuwa ww?
Globu said: Boflo bana. Haya kwa chai inakwenda, kwa supu we acha tu. Kwa Blue Band usiseme. Kwa halua mama yangu............. Click to expand... halua unaijuwa ww?
mwaJ JF-Expert Member Sep 27, 2007 4,074 2,947 Aug 15, 2012 #7 Hujatulia we Boflo Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Boflo JF-Expert Member Jan 20, 2010 4,384 4,409 Aug 15, 2012 Thread starter #8 mwaJ said: Hujatulia we Boflo Click to expand... nataka unitulize...... chacha vp?
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,781 Aug 15, 2012 #11 Hilo hapo pembeni ni gazeti la mwanahalisi? Nimelimisi!
Ndahani Platinum Member Jun 3, 2008 18,119 9,049 Aug 15, 2012 #12 Boflo wapi unakutana na haya mambo wanayoyaona waganga wa kienyeji? Au na wewe ni sharifu nini? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Ducolax Member Aug 6, 2012 25 8 Aug 15, 2012 #13 Bofloooooooooooooooooooooooo sijui unakutana na mambo haya wapi???
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,833 155,780 Aug 15, 2012 #15 Boflo, wewe ni mkare. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Feb 3, 2009 42,314 33,108 Aug 15, 2012 #17 Boflo said: View attachment 61927 Boflooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo Click to expand... huyu Mbwa na huyu paka watakuwa ni wa kichina sio Mbwa wa kibongo au Paka wa kibongo hahahahahahahah Boflo........................ Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Boflo said: View attachment 61927 Boflooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo Click to expand... huyu Mbwa na huyu paka watakuwa ni wa kichina sio Mbwa wa kibongo au Paka wa kibongo hahahahahahahah Boflo........................
grafani11 JF-Expert Member May 24, 2011 15,442 5,807 Aug 16, 2012 #18 Boflo said: View attachment 61927 Boflooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo Click to expand... Kwa mtindo huu nina imani ipo siku watoto wa Familia ya George Bush na Familia ya Osama watakuja kuoana.
Boflo said: View attachment 61927 Boflooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo Click to expand... Kwa mtindo huu nina imani ipo siku watoto wa Familia ya George Bush na Familia ya Osama watakuja kuoana.
jamiif JF-Expert Member Apr 30, 2012 2,413 990 Aug 16, 2012 #19 duh, hii kali boflo! naona waandaaji wa scene hii wamewawekea hadi mashuka...lol......wakichoka na magazeti wamewekewa pembani hapo duh! Boflo said: View attachment 61927 Boflooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo Click to expand...
duh, hii kali boflo! naona waandaaji wa scene hii wamewawekea hadi mashuka...lol......wakichoka na magazeti wamewekewa pembani hapo duh! Boflo said: View attachment 61927 Boflooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo Click to expand...