Prisca Kishamba ni mke wa ndoto yangu

Prisca Kishamba ni mke wa ndoto yangu

Hivi huyu mzee wetu kweli ana moto? Maana nishaona watu wengi kwenye mitandao wakicomment kwamba ana fire. Au ngozi yake ina matatizo kwasababu ya ile sumu ya wakati ule?
Mtu alipewa sumu tangu anashuka pale uwanja wa ndege kutokea India kutibiwa alionekana kabisa amenyonyoka nywele na ngozi kubabuka ila wabongo tangu wakati huo wakampatia Ukimwi mitandaoni
 
Umeshachana mkeka, hadi ufike Dar kutoka huko kwenu manyovu watu tayari wameshakamatia mwana.....nyie jamaa wa mkoani huwa mnafeli wapi....hamna siri kabisa.
 
Ni jambo jema sana ila Ushauri wangu ni Mmoja tu Kwako mkikubaliana hakikisheni mnapimana sana Afya ( hasa UKIMWI ) tena kwa Kushtukizana na msiaandaeni lini mnaenda ili mpate Majibu yenu sahihi ambayo mkiyapata nitaomba pia mtuletee hapa Wadau ili tuyajue ili tuwapongezeni kwa kuwa salama au tuanze Kulia pengine kwa Mmoja wenu Kukutwa nao nikimaanisha ameshaathirika.
Mkuu, mkuu, mkuu naona una jambo hapa unataka kutueleza...
 
Endelea kuota mkuu
Ukiamuka ukashiriki kudai katiba mpya
 
Yaani dada Prisca Kishamba ni BONGE LA MTANZANIA MWENYE KUJITAMBUA.....

Huyu ndugu anawawakilisha YOUNG WOMEN wenye MISIMAMO NA KUJITAMBUA ....

Ndg.Prisca Kishamba anasimama IMARA DHIDI YA MIFUMO DUME tuliyonayo WANAUME.....

Ndg.Prisca Kishamba anafaa kuwa DIWANI ,DAS ama hata DED wa HALMASHAURI.....

Natabiri.......iko siku atakuwa miongoni mwa NAFASI HIZO Aaamin aaaaamin....amini nisemalo.....

Siku akigombea UDIWANI AMA UBUNGE(bora tu awe CCM )nitajitolea kwa MDOMO WANGU ,SAUTI YANGU ,MANENO YANGU NA HATA FEDHA kumsapoti in shaa Allah.....



Keep this message for a future reference!!!!
Ishiii ni average brain kabisa..! Nilimsikia siku moja anamuhoji kwa kingereza tangia siku hiyo nikamdharau kabisa.
 
Huu uzi bila picha ni mateso hali ya juuu

IMG_1115.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom