Prisca Kishamba ni mke wa ndoto yangu

Prisca Kishamba ni mke wa ndoto yangu

Mh,huyu manzii,mbona kafubaa?afu anaonekana ana Mambo mengi kichwani?!?
 
Chakula ya Mwakyembe huyo. Huogopi kunaswa ?Ana umeme shauri yako.
Hivi huyu mzee wetu kweli ana moto? Maana nishaona watu wengi kwenye mitandao wakicomment kwamba ana fire. Au ngozi yake ina matatizo kwasababu ya ile sumu ya wakati ule?
 
Sema mapenzi hayana formula mkuu, hata mimi huwa namzimia sana yule dada na sina sababu ya msingi.

Kila la kheri kaka chukua chombo hiyo, ukioa wewe ni kama nimeoa mimi tu, ntafurahi sana.
 
Wadada wenye sauti nzuri redioni kwa hapa bongo they are not that good looking(God forbid)..

Ila mkuu kuwa makini mzee wa degree nne kutoka Kyella atakurushia nguo nyeupe.
 
Picha tafadhali itanogesha Uzi, au naongopa ndugu yangu?
1625241604596.png
 
Wadau kwanza naomba radhi kwa nilochokiandika endapo huyu mlimbwende atakua ameolea. Kwanza naomba mwenye taarifa sahihi juu ya huyu binti kama ameolewa au la.

Nimeamua kumchugua mrembo huyu kwani ameonyesha kua yeye ni binti aliyelelewa vizuri na ametokea kwenye familia inayojitambua,dada huyu ni mpole na anauwezo mkubwa wa kukabiliana na matatizo.

Kitendo cha manara cha kumdhalilisha mara kadhaa na yeye kukaaa kimya nakuomba radhi japo hajakosea kwangu mm naona huyu mtu ni mke wa ndoto yangu.

Tayari nimeshaanza maaandalizi kutoka mkoani kwenda Dar ambapo ntakutana nae ana kwa ana ili nimueleze nia yangu,raia yangu kwenu wanajamvi mniombeee ili lengo langu litimie na mpata shemeji na wifi yenu.

Mungu anitangulie.
Mwambie kwanza Manara akuonyeshe na zile meseji zake
 
Yaani dada Prisca Kishamba ni BONGE LA MTANZANIA MWENYE KUJITAMBUA.....

Huyu ndugu anawawakilisha YOUNG WOMEN wenye MISIMAMO NA KUJITAMBUA ....

Ndg.Prisca Kishamba anasimama IMARA DHIDI YA MIFUMO DUME tuliyonayo WANAUME.....

Ndg.Prisca Kishamba anafaa kuwa DIWANI ,DAS ama hata DED wa HALMASHAURI.....

Natabiri.......iko siku atakuwa miongoni mwa NAFASI HIZO Aaamin aaaaamin....amini nisemalo.....

Siku akigombea UDIWANI AMA UBUNGE(bora tu awe CCM )nitajitolea kwa MDOMO WANGU ,SAUTI YANGU ,MANENO YANGU NA HATA FEDHA kumsapoti in shaa Allah.....



Keep this message for a future reference!!!!
Mkuu hii Mara ya pili narudia tena eti we ndio mama mwenyewe?.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom