Noel wa ruben
JF-Expert Member
- Oct 11, 2020
- 364
- 517
Wadau kwanza naomba radhi kwa nilochokiandika endapo huyu mlimbwende atakua ameolewa. Kwanza naomba mwenye taarifa sahihi juu ya huyu binti kama ameolewa au la.
Nimeamua kumchugua mrembo huyu kwani ameonyesha kua yeye ni binti aliyelelewa vizuri na ametokea kwenye familia inayojitambua, dada huyu ni mpole na anauwezo mkubwa wa kukabiliana na matatizo.
Kitendo cha manara cha kumdhalilisha mara kadhaa na yeye kukaaa kimya nakuomba radhi japo hajakosea kwangu mm naona huyu mtu ni mke wa ndoto yangu.
Tayari nimeshaanza maaandalizi kutoka mkoani kwenda Dar ambapo ntakutana nae ana kwa ana ili nimueleze nia yangu, rai yangu kwenu wanajamvi mniombeee ili lengo langu litimie na mpate shemeji na wifi yenu.
Mungu anitangulie.
Picha ya Prisca Kishamba kwa msaada wa google.
Nimeamua kumchugua mrembo huyu kwani ameonyesha kua yeye ni binti aliyelelewa vizuri na ametokea kwenye familia inayojitambua, dada huyu ni mpole na anauwezo mkubwa wa kukabiliana na matatizo.
Kitendo cha manara cha kumdhalilisha mara kadhaa na yeye kukaaa kimya nakuomba radhi japo hajakosea kwangu mm naona huyu mtu ni mke wa ndoto yangu.
Tayari nimeshaanza maaandalizi kutoka mkoani kwenda Dar ambapo ntakutana nae ana kwa ana ili nimueleze nia yangu, rai yangu kwenu wanajamvi mniombeee ili lengo langu litimie na mpate shemeji na wifi yenu.
Mungu anitangulie.
Picha ya Prisca Kishamba kwa msaada wa google.