Sandiego
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 1,289
- 2,076
Nimenunua machine hizi Sasa ninazo 3. Kwa biashara za studio ni nzuri kwasababu zinatoa picha zenye kiwango Sana. Picha haipauki kaza zile za Epson Wala kuchanika. Tatizo hizi mashine baada ya muda Kama miezi miwili au 3 zinaanza kuweka mistari kwenye picha.
Yaani picha inatoka na mistari Kama mitatu au minne. Unashauriwa kusafisha Kwa spirit, unasafisha lakini tatizo linaisha na kujirudia. Sasa mashine ya Sasa inatoa picha zikiwa na mikwaruzo ya madoadoa. Nimetafuta mafundi was hizi mashine sijawapata. Nazipenda lakini zinanisumbua.
Ninaomba msaada Kwa mwenye kujua chochote au mtumiaji tuchangiane mawazo labda Mimi Kuna mahali ninakwama. Pia kama Kuna muuzaji humu nahitaji mashine nyingine +255762161655
Yaani picha inatoka na mistari Kama mitatu au minne. Unashauriwa kusafisha Kwa spirit, unasafisha lakini tatizo linaisha na kujirudia. Sasa mashine ya Sasa inatoa picha zikiwa na mikwaruzo ya madoadoa. Nimetafuta mafundi was hizi mashine sijawapata. Nazipenda lakini zinanisumbua.
Ninaomba msaada Kwa mwenye kujua chochote au mtumiaji tuchangiane mawazo labda Mimi Kuna mahali ninakwama. Pia kama Kuna muuzaji humu nahitaji mashine nyingine +255762161655