Hilo ni wazo zuri lakini sijuwi kama wahusika watalifanyia kazi.Mimi nadhani badala ya kazi hii kufanywa na watu wa kawaida, watu wa level ya mawaziri, makatibu wakuu na familia zao wangekuwa ndo wabebaji wa watu hawa, ili next time iwaume kudhalilishwa hivyo na kuwa makini kwenye matumizi ya rasilimali za umma na kuwekeza kwenye maeneo yenye tija
hawa wamejitahidi sana kuiboresha dunia lakini nakuapia kaka hawa ndio watakaoiangamiza dunia.kwanza wana tamaa sana hawataki nchi na binaadamu wengine wawe na mali za asili,halafu wanahamasisha kutembea uchi wanalala na wanyama tofauti tofauti sio m'mbwa pekee.siamini kama ni kweli hili lakini kama ni kweli kuhusiana na ufreemason hilo ni tatizo jingine.lingine hawaogopi kuua watu milioni moja ili wapate kamali kadogo sana.pia ni wahusika wa mifarakano karibu tote ya duniani.hii inaweza ikawa inaukweli ndani yake ,wewe utamwambiaje binadmu mwenzio afanya mapenzi na mbwa hawa ni shetani kweli lol
unaniona mbeaaaa,habari za asubuhi nisalimie madam b.Ningeshangaa endapo usingechangia hapa.
Huyu kweli alikuwa Jemedari wa Majemedari ...NguliKiboko yao alikua ni huyu!