Prince Harry amevuliwa nafasi zake katika familia ya Kifalme

Kila mtu kuna maisha anayoyapenda. Hiyo royal life unayoona ni big deal kuna watu wameishi humo tangu wanazaliwa na hivyo hawaoni jipya.

Huyo Harry hata maisha yake yalivyo hata kabla hajaoa alipenda aishi kawaida tu ndio maana alienda mpaka vitani.

UHURU ni kila kitu.

Assume Harry kawa blinded na mapenzi, Je, na Meghan na yeye hapendi maisha ya hayo pamoja na title ???

Hajui hata anachoongea, royal life sometimes ni zaidi ya jela. Natamani angefuatilia maisha ya Princess Latifa bint Mohammed Al Maktoum
 
Isikie tu royal life mzee,ni zaidi ya big deal.
Huyu harry ni mwehu for now,
I respect his decision but;
Time will tell, love is blind and few can see

Mkuu roodney upo sawa kabisa. Mimi najiuliza incase of Divorce (kutengana) kati yao hapo baadaye, Prince Harry ataficha wapi uso wake? Ni vyema basi kuomba BOND kati yao idumu ili Talaka isiwe sehemu ya maisha yao,

Ahsante
 
Hata hivyo una kazi gani kwani ??

Ndio maana kina Harry wamesepa, kifuatacho itakuwa choice tu kwa wanafamilia kusepa.
Ufalme hauna maana yoyote katika dunia ya leo, basi Waingereza wengine wanataka kushikilia ndoto yao ya kumbukumbu za enzi walivyotawala dunia.
 
Huyu dogo baba yake anaitwa Prince Charles, sina hakika ni mtoto wa ngapi kwa malkia Elizaberth, huyu Charles alioa mwanamke mmoja anaitwa Diana, walizaa watoto kadhaa akiwepo na huyu dogo aliyetukusanya hapa leo; Charles na Diana walizinguana so wakaachana (sina hakika kama walipeana taraka cause ni Wanglican kwa maana ya imani )Price Diana akatokewa na mtoto wa Don mmoja wa KImisry aliyekua anaishi zake Ufaransa; Waingereza waka mind, kwamba mrembo wao kaolewa na MWarabu, kwa maana ya taratibu na mila/desturi zao, mtoto wake atakua na HAKI zote za kuja kua mfalme wa UK, zipo kumbukumbu kwamba tayari Diana alikua ameisha pigwa mimba, Waingereza wakaona isiwe tabu, aliuawa yule mama na jamaa yake, i think was mwaka 1998 kama sikosei.
Watoto wao ni wawili tu mkuu, na huyo prince charles ndo first born kwa Queen

Prince william na huyo Harry

Vingine uko vizuri

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mmedokeza kuhusu jamaa kwenda vitani, mwenye kujua zaidi atujuze safari yake ya kijeshi ipoje? Ana cheo gani?
Kwa wenzetu kuwa mjeda sio ishu eeeh? Maana ni ngumu kumwamini kuishi kwenye nchi nyingine
Am sure atakua anafatiliwa na CIA maana wanaweza hisi ni spy tu
 
Mmedokeza kuhusu jamaa kwenda vitani, mwenye kujua zaidi atujuze safari yake ya kijeshi ipoje? Ana cheo gani?
Kwa wenzetu kuwa mjeda sio ishu eeeh? Maana ni ngumu kumwamini kuishi kwenye nchi nyingine
Am sure atakua anafatiliwa na CIA maana wanaweza hisi ni spy tu
Prince Harry, who served in the British Army for a decade, was stripped of his three honorary military titles (Captain General of the Royal Marines, Honorary Air Commandant of RAF Honington and Commodore-in-Chief, Small Ships and Diving, Royal Naval Command) as part of the Sussexes' exit deal.

Haya yametokea hii February
 
Kuna pressure kubwa kutoka familia ya kifalme Harry na Meghan waachane na wao ndiyo kwanza wanaongeza watoto
Shida ya ufalme pia kulinda royal heritage,pata picha siku moja king George huyu mtoto wa William Ana cousin coloured eheheh🤣🤣🤣 waingereza wanachukizwa sana na hiki,Kumbuka mimba ya princess diana back then na Dodi alfayed,yaani William huyu angekuwa na Half bro/sis wa kiarabu,haiwezi tokea hiyo kamwe..
 
Hamna ishu ya mama wala nini...kwanza mama yake mwenyewe nae alikuwa mpuuzi tuu.....kuishi kwenye familia ya kifalme kuna taratibu zake sasa wee ukiona unabanwa achia ngazi nenda huko kwa hao wa kawaida.....ata mie ningekuwa malkia ningemdedisha tuu anatia aibu jina la ufalme...tena of all people unaenda gegedwa na mwarabu !!!

Wee huyo harry kaona hapa sitakuwa mfalme na pia kuna restrictions nyingi basi bora niwe huru.

Mbona sister wa queen nae kuna wakati alijja kuwa hawezi kutawala akaamua kupata furaha kwa commoner kitu ambacho hakiruhusiwi.

Serikali ikamwagiza queen kuwa mwambie sista achague kama anatakaaa priveledges za kifalme aachane na mpenzi wake ama aolewe na mpenzi wake lakini priveldges zote hamna. Bidada kwa tamaa za priveldges kamtosa jamaa lakini mwishoe akaishia kuwa alcoholic tuu....
Mkuu, mama wa mwenzio ndio anaweza kua mpuuzi but sio mama yako. Sijui kwanini watoto wa kiume hua wana mapenzi sana na mama zao; siku moja nimemsikia Charles Hilary akionesha jinsi alivyo umia mama yake mzazi alivyo KUFA, Charles Hilary ana miaka karibia 60, mama yake amefariki akiwa na late 80's but still mshkaji ilimuuma, ilinitokea hata mimi and thought may be ni mimi peke yangu, nilivyosikia na mzee mwenzangu Charles nae imemuuma then nikajua kumbe tupo wengi. Narudia, mama wa mwenzio anaweza kua mpuuzi kwa jicho lako but sio mama yako
 
Mkuu, mama wa mwenzio ndio anaweza kua mpuuzi but sio mama yako. Sijui kwanini watoto wa kiume hua wana mapenzi sana na mama zao; siku moja nimemsikia Charles Hilary akionesha jinsi alivyo umia mama yake mzazi alivyo KUFA, Charles Hilary ana miaka karibia 60, mama yake amefariki akiwa na late 80's but still mshkaji ilimuuma, ilinitokea hata mimi and thought may be ni mimi peke yangu, nilivyosikia na mzee mwenzangu Charles nae imemuuma then nikajua kumbe tupo wengi. Narudia, mama wa mwenzio anaweza kua mpuuzi kwa jicho lako but sio mama yako
Kuwa mama yako hakuondoi upuuzi wake na pia mama yako kufanya mambo ya kipuuzi hakuondoi uchungu utakaokuwa nao pale anapokufa.

Kwa hiyo unataka kuniambia mama yako akichepuka kisa ni mama hicho kitendo sio cha kipuuzi? Hizi ndionattitude za kijinga kwamba baya likifanywa na ndugu yako sio baya ila akifanya mtu mwengini ndio baya.

Mfano mama yako anachepuka sasa kksa mama hutasema kuwa huo sio upuuzi?
 
Shida ya ufalme pia kulinda royal heritage,pata picha siku moja king George huyu mtoto wa William Ana cousin coloured eheheh waingereza wanachukizwa sana na hiki,Kumbuka mimba ya princess diana back then na Dodi alfayed,yaani William huyu angekuwa na Half bro/sis wa kiarabu,haiwezi tokea hiyo kamwe..
Ndo maana nahisi huyu Meghan na watoto wake wanaweza tengenezewa "accident

Buckingham ni nyoko, ka Meghan kawe makini

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, mama wa mwenzio ndio anaweza kua mpuuzi but sio mama yako. Sijui kwanini watoto wa kiume hua wana mapenzi sana na mama zao; siku moja nimemsikia Charles Hilary akionesha jinsi alivyo umia mama yake mzazi alivyo KUFA, Charles Hilary ana miaka karibia 60, mama yake amefariki akiwa na late 80's but still mshkaji ilimuuma, ilinitokea hata mimi and thought may be ni mimi peke yangu, nilivyosikia na mzee mwenzangu Charles nae imemuuma then nikajua kumbe tupo wengi. Narudia, mama wa mwenzio anaweza kua mpuuzi kwa jicho lako but sio mama yako
Inategemea amelelewa na nani huyo so usishangae

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kuwa mama yako hakuondoi upuuzi wake na pia mama yako kufanya mambo ya kipuuzi hakuondoi uchungu utakaokuwa nao pale anapokufa.

Kwa hiyo unataka kuniambia mama yako akichepuka kisa ni mama hicho kitendo sio cha kipuuzi? Hizi ndionattitude za kijinga kwamba baya likifanywa na ndugu yako sio baya ila akifanya mtu mwengini ndio baya.

Mfano mama yako anachepuka sasa kksa mama hutasema kuwa huo sio upuuzi?
Nahisi hujalelewa kwenye misingi/ mikono ya wazazi wako... that's y unaona so simple tu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Ndo maana nahisi huyu Meghan na watoto wake wanaweza tengenezewa "accident

Buckingham ni nyoko, ka Meghan kawe makini
emoji848.png
emoji848.png


Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ndio maana wamejitoa mapema,kuepusha yote,Harry anafata footstep za baba mkubwa wake king Edward na wote wake zao wamarekani,Meghan Markle alikuwa anawapa tabu kucope na culture Yao,kuna wakati Kate Middleton alilalamika,si unajua wamarekani wanataka uhuru,provided ni actress ni shida,What Happened When King Edward VIII Quit the Royal Family?
 
Hamna ishu ya mama wala nini...kwanza mama yake mwenyewe nae alikuwa mpuuzi tuu.....kuishi kwenye familia ya kifalme kuna taratibu zake sasa wee ukiona unabanwa achia ngazi nenda huko kwa hao wa kawaida.....ata mie ningekuwa malkia ningemdedisha tuu anatia aibu jina la ufalme...tena of all people unaenda gegedwa na mwarabu !!!

Wee huyo harry kaona hapa sitakuwa mfalme na pia kuna restrictions nyingi basi bora niwe huru.

Mbona sister wa queen nae kuna wakati alijja kuwa hawezi kutawala akaamua kupata furaha kwa commoner kitu ambacho hakiruhusiwi.

Serikali ikamwagiza queen kuwa mwambie sista achague kama anatakaaa priveledges za kifalme aachane na mpenzi wake ama aolewe na mpenzi wake lakini priveldges zote hamna. Bidada kwa tamaa za priveldges kamtosa jamaa lakini mwishoe akaishia kuwa alcoholic tuu....
Watu mna files zote kutoka Royal family lol
 
Kuwa mama yako hakuondoi upuuzi wake na pia mama yako kufanya mambo ya kipuuzi hakuondoi uchungu utakaokuwa nao pale anapokufa.

Kwa hiyo unataka kuniambia mama yako akichepuka kisa ni mama hicho kitendo sio cha kipuuzi? Hizi ndionattitude za kijinga kwamba baya likifanywa na ndugu yako sio baya ila akifanya mtu mwengini ndio baya.

Mfano mama yako anachepuka sasa kksa mama hutasema kuwa huo sio upuuzi?
Tuishie hapo mkuu, bakia na imani yako na mimi nibaki na imani yangu, nina amini kwamba, mama ya mwenzio anaweza kuonekana ni mpuuzi kwa jicho lako but sio mama yako; na wewe amini unavyo amini
 
Back
Top Bottom