munisijo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 1,109
- 922
Kila mtu kuna maisha anayoyapenda. Hiyo royal life unayoona ni big deal kuna watu wameishi humo tangu wanazaliwa na hivyo hawaoni jipya.
Huyo Harry hata maisha yake yalivyo hata kabla hajaoa alipenda aishi kawaida tu ndio maana alienda mpaka vitani.
UHURU ni kila kitu.
Assume Harry kawa blinded na mapenzi, Je, na Meghan na yeye hapendi maisha ya hayo pamoja na title ???
Hajui hata anachoongea, royal life sometimes ni zaidi ya jela. Natamani angefuatilia maisha ya Princess Latifa bint Mohammed Al Maktoum