Tatizo Mwalla hujaangalia pande mbili. Tambua ya kwamba Sumaye amefanya kazi na kiongozi ambaye ana misimamo mikali na ni mtu asiependa mzaha mzaha. Lowassa kipindi chake amefanya kazi na Rais ambae amesahau majukumu yake ipasavyo. Kama Kweli Lowassa ni dhaifu basi tangu aache madaraka tungeona Serikali imepiga hatua kubwa sana. Mpaka sasa tangu ajiudhuru maisha yamezidi kupanda juu.