MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,512
nafarijika kwamba wapo watu waelewa kama wewee na umethubutu kueleza ukweli halisia.. LOWASA HAFAI LABDA KWA ASIYE MJUAhivi huyu lowassa si ndo nyerere alimkataa.sasa watanzania tunasemaje tunamuenzi mwl.kwa kuendelea kukumbatia fisadi kama hili.Mi nadhan ni wakati wa kupata mtu sahihi.sina shaka na uadilifu wa muheshimiwa sumaye.binafsi namkubali sana..lowassa hana utu hata kidogo yan yuko radhi kutoa mabillion kunnua urais,swali la kujiuliza ni vipi atazirudisha?!!!
ni sawa maelezo yako na nilitangulia kusema kila mtu anamapungufu yake lkn ukweli unabaki palepale katika kipindi cha mkapa kazi zilifanyika sio kipindi hiki ambapo tulitaka mpaka kuletewa mvua ya mawingu kitaalamu haya si ni majanga??Hapo hakuna lowasa wala sumai wote hawafai huyo sumai si ndo aliuza nchi na mshikaji wake mkapa mikataba mibovu.EPA.eti wakaleta nn ile ya Tanesco Net group solution.wakauza NBC kwa bei ya.kutupa akajikopesha hels za nssf na ndugu yake mkulo.wengi hamtakubali lakini jembe la ukweli na linalo jiamini nimmoja tu samuel sitta .angalia alivoongoza bunge mpaka mafisadi wakamtilia zengwe.angalia ansvoongoza wizara ya EA hawa jamaa walitaka chukua ardhi yetu lakini wamekoma mpaka wamechukia na kuamua kujitenga.jk alionambali kumpa hiyo wizara.
tuliwahi kukataa mtu mmoja mmoja ama kikundi cha watu kujitwalia nafasi ya watanzania wote kutusemea fulani ndiye anayefaa kuwa kiongozi na si fulani...hata kama sababu mnazo,ni mtizamo wenu!
Tunataka kiongozi ambaye atatuambia wazi,kwanini anataka kutuongoza,na hiyo miaka/miezi aliyopata fursa ya kuwa kiongozi wa watu ni jambo gani amelifanya ambalo leo tukimpa nafasi ya juu zaidi atalifanya kwa upana zaidi!
12 na 2 ni namba tu! Tunataka zaidi ya hapo!
tuliwahi kukataa mtu mmoja mmoja ama kikundi cha watu kujitwalia nafasi ya watanzania wote kutusemea fulani ndiye anayefaa kuwa kiongozi na si fulani...hata kama sababu mnazo,ni mtizamo wenu!
Tunataka kiongozi ambaye atatuambia wazi,kwanini anataka kutuongoza,na hiyo miaka/miezi aliyopata fursa ya kuwa kiongozi wa watu ni jambo gani amelifanya ambalo leo tukimpa nafasi ya juu zaidi atalifanya kwa upana zaidi!
12 na 2 ni namba tu! Tunataka zaidi ya hapo!
nafarijika kwamba wapo watu waelewa kama wewee na umethubutu kueleza ukweli halisia.. Lowasa hafai labda kwa asiye mjua
Halafu nynnyi magamba mnchusha sana, yaani nchi hii mlivyoivuruga bado mnapigiana upatu magamba? Yaani hakuna watanzania wengine wenye uwezo wa kuongoza nchi hii zaidi ya magamba yaliyolaanika? Kama unampenda sana Sumaye na unaamini anafa, kwa nini anang'ana kukaa katika chama kinchowakumbatia mafisadi unaowataja kama Lowassa? Kawani CCM ni mama yake Sumaye au na yeye ni fisadi kama wenzake?yes!! Ni mtazamo wangu tu bw mkubwa... Ila mwenye kutambua hili ataelewa nini umuhimu wa watu hawa wa2 tunaowazungumzia hapa jamvini.. Wapo wengi tu kina mzee sita, membe, hata magufuli pia yumo nae hivyo kazi ni kwako broo
ni kweli sana lakini nafasi hiyo kumpa lowasa ni sawa na kuonja sumu .
Hapo hakuna lowasa wala sumai wote hawafai huyo sumai si ndo aliuza nchi na mshikaji wake mkapa mikataba mibovu.EPA.eti wakaleta nn ile ya Tanesco Net group solution.wakauza NBC kwa bei ya.kutupa akajikopesha hels za nssf na ndugu yake mkulo.wengi hamtakubali lakini jembe la ukweli na linalo jiamini nimmoja tu samuel sitta .angalia alivoongoza bunge mpaka mafisadi wakamtilia zengwe.angalia ansvoongoza wizara ya EA hawa jamaa walitaka chukua ardhi yetu lakini wamekoma mpaka wamechukia na kuamua kujitenga.jk alionambali kumpa hiyo wizara.
nafarijika kwamba wapo watu waelewa kama wewee na umethubutu kueleza ukweli halisia.. LOWASA HAFAI LABDA KWA ASIYE MJUA