Mtz-halisi
Member
- Nov 28, 2009
- 47
- 20
CHUKUA UKWELI HUU
Kwa sasa Tanzania inavyama zaidi ya ishilini vilivyosajiliwa rasmi na vingine bado havijapata usajili wa kudumu,miongoni mwa vyama hivyo ,vipo ambavyo vinamajina ya kiingereza na waasisi wake wamejaribu mara kadhaa kutohoa maana halisi ya majina yake na vifupi vyao kwa ki
View attachment 142799View attachment 142800View attachment 142801swahili,bt ni ukweli mchungu kwamba vyama hivyo havina nguvu ,havitoi ushindani uliokusudiwa na vingine vimekufa chali kifo cha mende pamoja na waasisi wao,naamaanisha vyama vyote vyenye majina ya kiingereza vimekufa na vingine ndo vinarushaa miguu vikimalizikia kukata roho,tofauti na baadhi ya vyama vyenye majina ya lugha yetu ya taifa kama vile CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA),na CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
kwa leo nitavitaja vyama vichache vinavyotumia majina hayo ya kigeni kwa ajili kukumbushia bt hata wewe waweza kuongezea,
1:NCCR..
2:UDP..
3:TLP..Tanzania Labour Party
4:CUF..Civil United Front
5:ADC.. Alliance for Democratic Change
6:ACT..Alliance for Change and Transparency
Naweza nisiwe sahihi sana katika utabiri wangu huu bt pia unaweza usiwafurahishe baadhi ya watu,nauona mwisho mbaya wa kisiasa wa chama kipya cha ACT chama cha WAHA wenzangu wa Kigoma pamoja na waasisi wake na watakaojiunga nao,usiniulize sababu we refer sababu za vyama tajwa hapo juu then tuviombee amani ,kwani waliosema taifa kwanza chama baadae ndo hao hao walioanzisha chama hicho,sasa imekuwa kinyume chake imekuwa chama kwanza Tanzania kaskazini baadae,
nimalizie kwa kuwapa taarifa nilikuwa mtu wa kwanza kufatwa hapa SAUT nijiunge nacho,nikawaambia kwangu Mimi hakuna mbadala sahihi wa CCM zaidi ya CDM,walipoulizia habari zangu zaidi wakambiwa "jamaa japo muha bt ni CDM damu hamuwezi kumbadilisha "wakaachana na mimi,alama ya Nyota nayo iliyopo kwenye bendela yao ni tatizo kwani wajuzi wa dini wanasema ni alama ya NYOTA MAGHARIBI.
so what??
hiyo inahalalalisha na Dr.W.Slaa ambae mnamtumaini kuwa ni rais wenu na yeye kuacha kufuata mafundisho na kuyaasi??
Huyo Muislam aliefanya hivyo ni muhuni tuh kama wahuni wengine,na ana case ya kujibu kwa mola wake,kwan zinaa imekatazwa na kukemewa kwenye uislam,sisi huyo tunamuita muhuni na hajitambui labda atubu kwa mola wake,sasa slaa wewe utamuitaje??maana case kama zinalandana hizo
Nani asiekujua Katibu Muenezi wa Alliance for Cowards and Traitors,acha kukimbia kivuli chako ungekuwa unajitambua gesi isingetoka Ntwala njomba,kelele mingi leo unachimba mitaro ya kupitisha mabomba ya gesi sasa mimi na wewe na njaa kali..
Nani asiekujua Katibu Muenezi wa Alliance for Cowards and Traitors,acha kukimbia kivuli chako ungekuwa unajitambua gesi isingetoka Ntwala njomba,kelele mingi leo unachimba mitaro ya kupitisha mabomba ya gesi sasa mimi na wewe na njaa kali..
Nani kakiogopa chama cha kina Mohamed Said,kazi kwa serekali kuwa makini na bokoharam hao,hapa nani msukule we siulibana gesi haitoki mbona imetoka na mbaya zaidi umeshaota kibiongo kwa kuchimba mitaro njaa zitakuua Njomba...eti katibu muenezi wa ADC,vipi mbona imetokea mnakiogopa sana hiko chama??
au ndicho kinakuja kuua moja kwa moja lile genge la wachaga pale ufipa??
wapuuz kama wewe ndio mnaweza kutumikishwa na wanasiasa,mimi najitambua siwez kuwa msukule kama ww
eti katibu muenezi wa ADC,vipi mbona imetokea mnakiogopa sana hiko chama??
au ndicho kinakuja kuua moja kwa moja lile genge la wachaga pale ufipa??
wapuuz kama wewe ndio mnaweza kutumikishwa na wanasiasa,mimi najitambua siwez kuwa msukule kama ww
Nani kakiogopa chama cha kina Mohamed Said,kazi kwa serekali kuwa makini na bokoharam hao,hapa nani msukule we siulibana gesi haitoki mbona imetoka na mbaya zaidi umeshaota kibiongo kwa kuchimba mitaro njaa zitakuua Njomba...
kwa hiyo na ile bendera ya marekani yenye nyota inaashiria uislamu sio?
Kimekufa kwako na ACT yenu ila ni hai na kitaendelea kudunda Tanzania nzima mwanzo mwisho,we kufa na njaa zako na tena usijitafutie umaarufu kwa kusema sisi Waislam sema mimi, nawashkaji zangu kibwena waislamu hawana akili za kizombi kama zenu,ushindi upi ule wa Mtwara mpaka leo unaishi kama fisi..chadema kama kimekufa,kimekufa tuh
na hatujakiua sisi waislam,mmekiua nyinyi wenyewe wachaga,
msitafute wa kufa nae,mmekufa na mnasubiri kuzikwa,vita nyenu na waislam mnazid kujimaliza zaid,mshindi tutakuwa sisi sio nyinyi
CCJ,CCK,ADC vyote vimekufa natural death mkuu